Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,615
- 38,589
weka picha
Mrefuuu
Mrefuuu
Umeniruhusu?weka picha
Umeniruhusu?
Naomba niiweke hapa 😂 😂 😂 😂 😂Weka pm
Sure, she/he is suffering from chronic mental disorder with abnormal or violent social behavior.She/He is not okay, she/He need help... (i don' even sure if is SHE or HE)
Smh.
Alibakwa na babaake kuna Uzi aliandika nadhan hio ndo imemu affectSure, she/he is suffering from chronic mental disorder with abnormal or violent social behavior.
Alibakwa na babaake kuna Uzi aliandika nadhan hio ndo imemu affect
Duhh! Hiyo ni kazi ya Muumba. Uwe mrefu, mfupi, mweupe au mweusi si matakwa yako bali umejikuta uko hivyo. Hata hivyo kila mtu ana taste yake. so you are not 'standard unit' (SU) kwa kupenda. ndo maana utakuta kuna wababa wanapenda wamama wenye nyonyo kubwa, wengine wanapenda wembamba, wemgine wanapenda wenye mawowowo, huku wengine wanapenda wenye mtindi, huku wengine akina mimi napenda nyonyo nyembamba. Hiyo ni calculation ya Mungu.Kila nikiangalia video youtube nakutana na wanaume wafupi tu, instagram kila mwanaume anae post picha ni mfupi. Hivi tanzania hakuna wanaume warefu? Kwani mnakula nini mpaka hamrefuki? Raha ya mwanaume awe mrefu ndio anapendeza hata kama ukisimama nae anakuzidi urefu sio mwanaume mfupiii kama mtoto mdogo. Halafu wanaume wafupi hawana mvuto hata wakivaa hawapendezi. Mimi mwanaume akiwa mfupi hata anipite miaka zaidi ya 20 namuona kama mdogo wangu tu.
Duuuhh!!!! Huyu ni shoga aliye desperate!
sure!!Duuuhh!!!! Huyu ni shoga aliye desperate!