Hivi kwanini wanaume wa Dar haswa wa mjini kati (Posta) wanavaa visuruali njiwa?

Usipende kufuatilia maisha ya watu...Vngne ukijua utajiliza bure........... na nyie huko kijijin tafuten staili yenuya kuvaa
 
Ushamba wako tu, hujui dsm kuna joto?
 
Ni sunnatu nnabiyya mtume wetu muhammad (s.w.a) mwanamume kuva suruali isiyo isiyovuka fundo mbili za miguu ambayo ww ndio unaita njiwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…