Hivi kwanini wanaume tukiingia kwenye mahusiano na wanawake wanaotuzidi umri tunazama sana kimapenzi?

Aiseee umenikumbusha way back sana
Kipindi hiko ni Young and full of energy and emotions.
Nakumbuka ilikuwa naenda field ya mwaka wa kwanza mgodini niko na washkaji tumetoka Dsm chuo na destination ilikua mgodini geita so tulifika mwanza tukalala then kesho ndio twende Geita.
Ilikuwa ni jmosi tuliendelea na safari tulipofika Kivuko cha Busisi tulishuka kusubiri kwenda upande wa pili then nilimuona mdada kakaa pekeake, nilimfuata nikamsalimia na kuanza kumuongelesha.
Aisee kumbe sikujua alikuwa anaenda Uganda kufunga mzigo wa Manuka yake ya nguo pia alikuwa ni mke wa mtu na ana watoto wa 2.
Baada ya kuvuka na kila mmoja kuendelea na safari yake nilifanikiwa kupata namba yake, na utani na mazoea yalianzia hapo
Siwezi Sahar siku ya kwanza aliyokuja Geita akalipia hotel for the whole weekend and we did everything. Na sijawahi kuexperience this kind of love, from that I was addicted to her as she was to me. Ikafika hatua hata field siend nasingizia naumwa kumbe nimempanga aje.
One day mumewe alinipigia simu akanipiga mikwara na maonyo makali niachane nae maana akiamua kunipoteza ni Segundo tu, kumbe alikuwa kaolewa na Tajiri wa madini mtu wa kusafiri safiri na walikuwa na watoto wawili.
She was so special to me nilidumu nae kwenye mahusiano for 4 yrs, I mean alinifanya nisiwe na demu yeyote chuo mpaka namaliza alijitahd mara kwa mara kuja Dsm kwaajili yangu ingawa alikuwa anakaa Mwanza.
Akiwa kaolewa alipata mimba yangu akagoma kuitoa is ilhali akijua ni jambo la hatari, mimba ilimsumbua sana alikuwa anaishiwa damu mpaka anazimia eventually madactari na ndugu walimkomalia aitoe maana ni either angepoteza uhai yeye au pamoja na huyo mtoto maana alishaambiwa asizae tena.
I loved her, she loved me but we were not meant to be together
Siku ya gradu yangu ya chuo ndio mtu pekee alikuja
Alinipa zawadi nyingi na mipango mingi aliweka juu ya maisha yangu
By then zawadi ya 5mil ilikuwa ni pesa nyingi sana sana
Tulikuja achana baadae akisema America kufocus na maisha ya familia yake maana watoto wake wanamuhitaji hawezi kugawa tena upendo pande mbili.
We both cried, fucked and cried again as we say our goodbyes
She was perfect, beautiful, loyal and most importantly dangerous and wild
She was only 29 and I was only 21 wakati tunaanza mahusiano yetu.
Ndio mahusiano yangu pekee yaliyodumu muda mrefu
It was a long time ago ila nikikumbuka still my heart breaks a little bit
U will always be remembered Gee

pole sana mkuu ni maumivu makubwa sometimes kuna wanawake huwa wanakuja kwenye maisha yetu unaweza sema ni malaika asee alafu ghafla wanapotea
 
Nilikuwa Chuo mwaka wa Pili, mtaani nilikutana na mama muuza uji. Alikuwa ni Mnyarwanda anaitwa Linah, kwa ujumla alikuwa mrembo sana(black beautiful, hips kubwa, tako laini na kimo chake ni Kama futi tano na nusu, macho yake yalikuwa kama ya mdoli/katuni wa kwenye TV.

nilikunywa kikombe kimoja, uji ulikuwa mtamu sana, nikamuomba namba ili nikihitaji aniletee.

Baadae tulizoeana sana nikaja kugundua Ni mjane wa miaka 40 Mwenye watoto watatu, mkubwa ni msichana wa miaka 14, Wakati huo Mimi nilikuwa na miaka 25.

Tuliingia kwenye mapenzi akawa anavutiwa sana na mboo yangu ya kimaasai(mimi ni maasai na huwa tunatahiriwa kwa mtindo tofauti Na waswahili, Sasa yeye akawa anasema Ni tamu sana). Alikuwa na wivu sana, Mara kwa mara alikagua simu yangu na hata akikuta mawasiliano ya kawaida na wasichana alikuwa anasema "kaa mbali nao maana mazoea yanaanzaga hivi baadae mtatongozana".

Hadharani na wakati mwingine faraghani Alipendelea kuniita"mwanangu" hivyo watu wengi walidhani labda Ni mama mdogo wangu au shangazi. Alikuwa ananivua nguo ananikagua mwili mzima akiona hata kovu dogo anauliza " hapa ulifanyaje?". Alininyoa, Aliniogesha, Alinivalisha na kunipikia chakula Kitamu.

Alipofahamu kuwa napenda chapati, aliniandalia chapati kwa kutumia unga wa ngano, maziwa fresh, blue band na viungo vyenye harufu ya kuvutia sana, kwa ufupi chapati zilikuwa Kama za Serena hotel.

Kila baada ya kumchapa aliiosha rungu yangu(alikuwa haniruhusu nishike kabla hajaosha, anasema "usishike uchafu mwanangu mzuri"). Akishanisafisha alinikumbatia na kunishukuru na kunipa pole kwa kazi. Baada ya hapo aliniambia nipumzike aniandalie chakula. Wakati anaanda chakula alipendelea kuvaa shati langu kubwa na huku chini alikuwa mtupu.

Kwahiyo wakati mwingine akiwa anapika nilikuwa naamka naenda kusimama nyuma yake na kumshika shika hips na tako lake laini huku nikimuambia yupo vizuri, yeye alinijibu "ni yakwako yote mwanangu mzuri, enjoy, yashike utakavyo". Basi Mimi wakati mwingine nadata kabisaa naanza vurugu Hadi anaahirisha kupika tunarudi raund nyingine ya pambano.

Wakati mwingine aliniambia niweke mziki ninaoupenda anichezee, alafu anaukalia ukuni alafu anaukatikia kulingana na biti na mdundo wa mziki huku mikono yangu ikishika_shika kiuno, tako lake laini na hips kubwa. Huyo mama alifanikiwa kuiteka akili yangu kiasi kwamba hata wasichana wa rika langu sikuwazingatia tena

Kutokana na kwamba nilikuwa mwanafunzi, Kwenye Mahusiano yetu Sikuwa na la maana la kumpa Ila yeye alinigawiwa vyombo vya ghetto na baada ya kuhitimu alinipa mbuzi wawili wa kisasa akasema" najua maasai wangu unapenda maziwa ya mbuzi, wachikue Hawa majike wawili, wakipandwa na beberu wa kienyeji watazaliwa machotara ambao watahimili Hali ya hewa yeyote na watatoa maziwa mengi kwaajili yako mwanangu" . Kwa ufupi alinilea Kama Mtoto wake.

Baada ya masomo nilirudi nyumbani, mawasiliano ya alipungua Hadi yakaisha.

Kwa kuhitimisha, Ni kweli wanaume tukiingia kwenye mahusiano na wanawake wanaotuzidi umri tunazama sana kimapenzi kwa sababu ya higher level of care and respect tunayopewa ukilinganisha na Hawa wasichana washenzi, ambao wanataka Queen- level treatment wakati wao hata ubunifu kwenye Mahusiano hawana. Kazi ni kupiga mizinga tu shwaini.
Huu uvuvi haramu 🤣🤣
 
aisee umenikumbusha manzi yangu mmoja alikuwa amenizidi miaka kadhaa dah nilikuwa namuelewa sana kiukweli wanawake wenye umri mkubwa wanajua sana mapenzi nilipotezana nae na sijawahi kumpata mpaka leo licha ya kumtafuta sana bila mafanikio SUZAN HOLDEN popote ulipo mama kama upo humu jua nakutafuta sana
Niko hapa kibenten changu, vipi umeacha ile tabia ya kupiga kelele ukiwa unafika kileleni? 😜
 
nimeshawahi kuwa mzinzi sana. ninyi nyote chamtoto tu. namshukuru Mungu alinineemia, nilistahili adhabu sana lakini alinisamehe. kitu pekee nilichojifunza ni kwamba, hakuna dhambi ambayo huwa inaenda bure kama hautatubu na kuiacha, kuna siku tu ya arobaini yako itakuletea madhara. mshahara wa dhambini mauti, bali karama ya Mungu ni uzima wa milele. inaweza kuwa mauti ya maisha yako/uhai, mauti ya pesa zako, mauti ya hatima yako ya maisha, unajinajisi, mauti ya vitu vingi. pale mnapozini huwa ni mlango wa mashetani mengi yanayokuja kuua vitu maishani mwako kiroho na kimwili pia. Mungu awasaidie mkumbuke hili na Mungu anisaidie na mimi kuikimbia zinaa.

zinaa dawa yake ni kukimbia mazingira yake yote, discussions zake zote, usipende kuwa karibu na mwanamke ambaye unajua lolote laweza kutokea, ikimbie, usipende kuwa na mwanamke ninyi wawili tu hakuna mtu mwingine, lolote laweza kutokea, kati ya dhambi yenye nguvu sana duniani ya kwanza ni zinaa, mwanamke akishaweka mazingira tu mwanaume huwa ni rahisi sana kudondoka. na shetani kwasababu anajua hilo, huwa anawaingia wanawake anawatumia kama chombo, inasemekana hadi baadhi ya wanawake hua wanakuja kustuka baadaye sana na kujilaumu imekuwaje wakatembea na mtu fulani, hadi wanajilaumu, kumbe shetani aliwatumia kama chombo ili kupata mlango wa kuingia kwa mtu fulani na kumharibia maisha yake kwa nuksi, kufunga milango ya baraka, magonjwa na mauti.

Yesu Yuaja, tuiogope dhambi. wakati watakaposema kuna amani, ndipo uharibifu uwajiapo, pale unaposema huyu ndio mwanamke wa kuzini naye nyuma yake kuna uharibifu unakufuatilia.
 
nimeshawahi kuwa mzinzi sana. ninyi nyote chamtoto tu. namshukuru Mungu alinineemia, nilistahili adhabu sana lakini alinisamehe. kitu pekee nilichojifunza ni kwamba, hakuna dhambi ambayo huwa inaenda bure kama hautatubu na kuiacha, kuna siku tu ya arobaini yako itakuletea madhara. mshahara wa dhambini mauti, bali karama ya Mungu ni uzima wa milele. inaweza kuwa mauti ya maisha yako/uhai, mauti ya pesa zako, mauti ya hatima yako ya maisha, unajinajisi, mauti ya vitu vingi. pale mnapozini huwa ni mlango wa mashetani mengi yanayokuja kuua vitu maishani mwako kiroho na kimwili pia. Mungu awasaidie mkumbuke hili na Mungu anisaidie na mimi kuikimbia zinaa.

zinaa dawa yake ni kukimbia mazingira yake yote, discussions zake zote, usipende kuwa karibu na mwanamke ambaye unajua lolote laweza kutokea, ikimbie, usipende kuwa na mwanamke ninyi wawili tu hakuna mtu mwingine, lolote laweza kutokea, kati ya dhambi yenye nguvu sana duniani ya kwanza ni zinaa, mwanamke akishaweka mazingira tu mwanaume huwa ni rahisi sana kudondoka. na shetani kwasababu anajua hilo, huwa anawaingia wanawake anawatumia kama chombo, inasemekana hadi baadhi ya wanawake hua wanakuja kustuka baadaye sana na kujilaumu imekuwaje wakatembea na mtu fulani, hadi wanajilaumu, kumbe shetani aliwatumia kama chombo ili kupata mlango wa kuingia kwa mtu fulani na kumharibia maisha yake kwa nuksi, kufunga milango ya baraka, magonjwa na mauti.

Yesu Yuaja, tuiogope dhambi. wakati watakaposema kuna amani, ndipo uharibifu uwajiapo, pale unaposema huyu ndio mwanamke wa kuzini naye nyuma yake kuna uharibifu unakufuatilia.
kwanini umevamia Uzi wa watu? jaman anzisha wa wako tutakuja huko kusoma...unaandika inshaaa
 
kwanini umevamia Uzi wa watu? jaman anzisha wa wako tutakuja huko kusoma...unaandika inshaaa
nadhani nilichojadili ndio kile kile, uzinzi na wamama waliowazidi umri. Mungu anachukia uzinzi na wote wanaosapoti uzinzi watakunywa kikombe kile kile.
 
Back
Top Bottom