ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,543
Yaani channel zote hadi saa hizi wanaendelea na vipindi vyao vya kawaida kana kwamba hakuna kilichotokea!
Hii si mara ya kwanza, japo kidogo clouds 360 wamerusha sauti ya Mkuu wa Mkoa Morogoro akitoa taarifa ya ajali hiyo mbaya ya moto
TBC nao hata habari hawana! Hivi hivyo vyumba vya habari si huwa mna wawakilishi Wanahabari mikoani na wana kamera sasa mnashindwa wapi? Mbona CNN, BCC huwa wepesi kujiunga na kutoa taarifa na majanga kwa jamii?
Jirekebisheni...huu ni wajibu wenu vyombo vya habari hasa TVs.
Inasemekana zaidi ya watu mia wanaweza kuwa wamepoteza maisha, nyie ndio wa kutujulisha amkeniiii.
Hii si mara ya kwanza, japo kidogo clouds 360 wamerusha sauti ya Mkuu wa Mkoa Morogoro akitoa taarifa ya ajali hiyo mbaya ya moto
TBC nao hata habari hawana! Hivi hivyo vyumba vya habari si huwa mna wawakilishi Wanahabari mikoani na wana kamera sasa mnashindwa wapi? Mbona CNN, BCC huwa wepesi kujiunga na kutoa taarifa na majanga kwa jamii?
Jirekebisheni...huu ni wajibu wenu vyombo vya habari hasa TVs.
Inasemekana zaidi ya watu mia wanaweza kuwa wamepoteza maisha, nyie ndio wa kutujulisha amkeniiii.