MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 20,897
- 63,784
Hivi kama elimu ya Tanzania ni bora kama tunavyoisifia mbona kumekuwa na wimbi kubwa la vigogo kukwepa kupeleka watoto wao shule za serikali kama ilivyokuwa miaka ya zamani ??
Je, unahisi hawa vigogo watakuwa na maamuzi ya kizalendo na shule za umma ambazo sisi watoto wa masikini tunasoma wakati watoto wao hawasomi huko ??
Je, unahisi hawa vigogo watakuwa na maamuzi ya kizalendo na shule za umma ambazo sisi watoto wa masikini tunasoma wakati watoto wao hawasomi huko ??