mr pipa
JF-Expert Member
- Jul 26, 2021
- 2,330
- 4,854
Nimeenda shule moja ya msingi ya Serikali na kukuta Wazazi kama 48 wakiomba kuwahamishia watoto wao katika shule hiyo ya msingi. Hiyo inaweza kuwa ina maana gani?
Kwamba hali ni ngumu ya kimaisha kwahiyo kipato hakikidhi mahitaji au wameona huko private hakuna la maana zaidi ya kujua Kiingereza? Najua wazazi mliofanya hivyo mpo humu mngetupa majibu tupate mwanga.
Kwamba hali ni ngumu ya kimaisha kwahiyo kipato hakikidhi mahitaji au wameona huko private hakuna la maana zaidi ya kujua Kiingereza? Najua wazazi mliofanya hivyo mpo humu mngetupa majibu tupate mwanga.