usinijibu hivyo
JF-Expert Member
- Nov 7, 2017
- 248
- 327
Ni utaratibu tu wa kuongoza ibada kwa unyenyekevu na upole...Nahisi uwa wanapewa ilo somo wakiwa mafundishoni.Bwana awee nanyiiiiiiiii
Awe piaaaaa naweeeee
Inueni mioyoooooo..
Mikoa zaidi ya sita nimeishi lakini sauti za mapadre wetu zina fanana je....na.muasisi wa hii sauti...na nini umuhimu wake?View attachment 897499
Ni utaratibu tu wa kuongoza ibada kwa unyenyekevu na upole...Nahisi uwa wanapewa ilo somo wakiwa mafundishoni.
Unamanisha sauti au maneno? Au pia unamanisha tone na melodies za kusemea maneno hayo ya misa??Bwana awee nanyiiiiiiiii
Awe piaaaaa naweeeee
Inueni mioyoooooo..
Mikoa zaidi ya sita nimeishi lakini sauti za mapadre wetu zina fanana je....na.muasisi wa hii sauti...na nini umuhimu wake?View attachment 897499
Waulize wenyewe si vizuri kumsemea mtuBwana awee nanyiiiiiiiii
Awe piaaaaa naweeeee
Inueni mioyoooooo..
Mikoa zaidi ya sita nimeishi lakini sauti za mapadre wetu zina fanana je....na.muasisi wa hii sauti...na nini umuhimu wake?View attachment 897499
Zambi = dhambiKwani zambi?
Mbwembwe zao tu ili kutushawishi tutoe sadaka za noti noti,,Bwana awee nanyiiiiiiiii
Awe piaaaaa naweeeee
Inueni mioyoooooo..
Mikoa zaidi ya sita nimeishi lakini sauti za mapadre wetu zina fanana je....na.muasisi wa hii sauti...na nini umuhimu wake?View attachment 897499
Ni swali zuri sana,ila naona kama limekaa kimtego mtego hivi.Unajua,Shetani ni mjanja sana.Yeye huwa akitaka kukushambulia anatengeneza kaufa tu,wala hahitaji mlango, ili kuweza kukushambulia.Shetani ukishaiga kitu chake tu,anajua you are weak spiritually,he attacks you!Haka ni kaufa!Nyufa hizi huwa zina tu cost sana.Ibada za underground societies zinatumia sauti za hivyo,na kwa Waroma si ajabu sana,maana Ujesuit ndio msingi wa Kanisa la Roma.Kumbuka kwamba Pope Francis ni Mjesuit.Sikiliza hizi ibada mbili za Kishetani,jibu utalipata!Bwana awee nanyiiiiiiiii
Awe piaaaaa naweeeee
Inueni mioyoooooo..
Mikoa zaidi ya sita nimeishi lakini sauti za mapadre wetu zina fanana je....na.muasisi wa hii sauti...na nini umuhimu wake?View attachment 897499
Pia wanalawiti watoto kwa unyenyekevu na upole?!..... Kule vatican scandal za mapadri kulawiti watoto ni nyingi sana!!Ni utaratibu tu wa kuongoza ibada kwa unyenyekevu na upole...Nahisi uwa wanapewa ilo somo wakiwa mafundishoni.
Anzisha uzi wa hizo scandal...Hapo inazungumziwa sauti zao wakati ya ibada.Pia wanalawiti kwa unyenyekevu na upole?!..... Kule vatican scandal za mapadri kulawiti ni nyingi sana!!
Bwana awee nanyiiiiiiiii
Awe piaaaaa naweeeee
Inueni mioyoooooo..
Mikoa zaidi ya sita nimeishi lakini sauti za mapadre wetu zina fanana je....na.muasisi wa hii sauti...na nini umuhimu wake?View attachment 897499
Pia wanalawiti kwa unyenyekevu na upole?!..... Kule vatican scandal za mapadri kulawiti ni nyingi sana!!
Siyo tune hiyo pekee, zipo tune nyingi zinazotumiwa na waendesha ibada hasa wakatoliki kama mapadre na maaskofu, hizo tune hasili yake ni kilatini hivyo makasisi wote ulimwenguni wa madhehebu ya kikatoliki hutumia hiyo tune/ melodia kwa kutumia lugha zao mama mfano kingereza, kiitaliano n.k ,hapa Tanzania tunatumia tune hiyo kwa kiswahili. Nawaza kusema ni tune ya kilitrujia ya ibada za kikatoliki. Ni tune za unyenyekevu ktk ibada pia inamfanya muumini hashiriki kikamilifu ktk ibada hasa ktk majibizano ya kiongozi wa ibada / kasisi na waumini.Zipo tune tofauti tofauti lakini maneno ni Yale yale, ukienda kanisa lolote duniani la wakatoliki maneno ya ibada ni hayo hayo, chakushangaza hata ibada za jumapili masomo ya maandiko matakatifu na mahubiri yake ni hayo hayo katika makanisa yote ya kikatoliki ulimwenguni, Yaani litrujia zao zipo uniformBwana awee nanyiiiiiiiii
Awe piaaaaa naweeeee
Inueni mioyoooooo..
Mikoa zaidi ya sita nimeishi lakini sauti za mapadre wetu zina fanana je....na.muasisi wa hii sauti...na nini umuhimu wake?View attachment 897499