Nafaka
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 12,156
- 31,049
Kila zama na kitabu chake, ilikuwepo zama za Bongo Records na akina Majani, Prof. Ludigo, Soggy Doggy, Bizzman n.k wakidondosha midude ya level nyingine. Huku alikuwepo MJ Records, kule Mawingu Studio, pale Sound Crafters, pande zile G-Gecords, mara kuna G2 kwa Roy.
Zama zikaja za Dunga akiwa na Lamar, Lamar akaondoka akafungua Fish Crab naye akapita.
Kuna maproducer wamebaki kwa muda mrefu japo hawako high au low mfano wake ni Bob Maneck na AM Records jamaa yupo kwa muda sana maana akina Bob Juniour wamekuja wakamtoa Diamond, wakapotea lakini yeye kabaki.
Sasa kuna hawa watengeneza midundo wa kizazi hiki ambao kiuhalisia siyo maproducer bali ni mabeat makers japo wengine wamejiendeleza zaidi na kutokana na kupata uzoefu wameweza kufanya mengi. Mmojawapo ni S2kizzy a.k.a Zombie. Huyu dogo ana mkono hatari sana anatengeneza kila aina ya mdundo na ni mbunifu sana kwani sauti nyingi unazozisikia kwenye beat amezipiga kwa mdomo wake akazitune akaziwekea effects zikasound kama unavyosizikia mfano.
Wimbo wa Rich Mavoko - Rudi ya Rich Mavoko kuna kisauti kinaria kama kopo fulani inagongwa gongwa mwanzo mwa beat kabla rich hajaanza kuimba, ile aliipiga kwa mdomo.
Kwenya kanyaga kanyaga -Diamond, kuna kisauti kinaanza kwenye intro, na kiko baada ya chrorus kabla verse ya pili ile aliipiga kwa mdomo. Kuna interview wanamhoji majani alisema yeye anawatambua maproducer wakali kama akina S2kizzy
Dogo katengeneza hits kibao maana nadhani kila hits 10, 5 zina mkono wake. Pilia nabadirika badirika mfano
Quarantine.
Wanaona haya
Far Away - Diamond ft Vanessa
Tetema - Rayvanny
La Moto - Moni Central Zone
Nizikwe Tu - Billnas
Nyimbo zote za Wozzu. Kuna nyimbo nyingi sana
Zama zikaja za Dunga akiwa na Lamar, Lamar akaondoka akafungua Fish Crab naye akapita.
Kuna maproducer wamebaki kwa muda mrefu japo hawako high au low mfano wake ni Bob Maneck na AM Records jamaa yupo kwa muda sana maana akina Bob Juniour wamekuja wakamtoa Diamond, wakapotea lakini yeye kabaki.
Sasa kuna hawa watengeneza midundo wa kizazi hiki ambao kiuhalisia siyo maproducer bali ni mabeat makers japo wengine wamejiendeleza zaidi na kutokana na kupata uzoefu wameweza kufanya mengi. Mmojawapo ni S2kizzy a.k.a Zombie. Huyu dogo ana mkono hatari sana anatengeneza kila aina ya mdundo na ni mbunifu sana kwani sauti nyingi unazozisikia kwenye beat amezipiga kwa mdomo wake akazitune akaziwekea effects zikasound kama unavyosizikia mfano.
Wimbo wa Rich Mavoko - Rudi ya Rich Mavoko kuna kisauti kinaria kama kopo fulani inagongwa gongwa mwanzo mwa beat kabla rich hajaanza kuimba, ile aliipiga kwa mdomo.
Kwenya kanyaga kanyaga -Diamond, kuna kisauti kinaanza kwenye intro, na kiko baada ya chrorus kabla verse ya pili ile aliipiga kwa mdomo. Kuna interview wanamhoji majani alisema yeye anawatambua maproducer wakali kama akina S2kizzy
Dogo katengeneza hits kibao maana nadhani kila hits 10, 5 zina mkono wake. Pilia nabadirika badirika mfano
Quarantine.
Wanaona haya
Far Away - Diamond ft Vanessa
Tetema - Rayvanny
La Moto - Moni Central Zone
Nizikwe Tu - Billnas
Nyimbo zote za Wozzu. Kuna nyimbo nyingi sana