screpa
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 10,792
- 15,693
2023, bado naendelea kusimama na hili. Hana originality, ni kama nilivyomsikia leo Ally B akisema 'ana chop huku na huku kupata kitu kizuri', japo yeye alizungumza hivyo kwa lengo la kumsifiaDogo mzuri sema anatatizo la kusample kupita kiasi. Kwa hawa maproducer wa kipindi hiki Abbah ni wa kumuangalia vizuri pia