Mla Bata
JF-Expert Member
- Jan 24, 2013
- 6,764
- 13,815
Hapa zombie anaenda kupotea, huyu demu mbona "muuzaji" mjini hapa kitambo tu, toka enzi yupo "SAMA".Haka kajamaa kanamiliki mtoto mkali balaaa View attachment 1497899
Hapa zombie anaenda kupotea, huyu demu mbona "muuzaji" mjini hapa kitambo tu, toka enzi yupo "SAMA".Haka kajamaa kanamiliki mtoto mkali balaaa View attachment 1497899
Kwanza sampling inakubalika kwenye utayarishaji mziki. Pili, kutoingia BET siyo kwetu tu hata wacongo wanaofanya mzikiambao una identity yao wa bolingo hawaingii na vipi wajamaica wanaingia? Unless wamehamiakabisa Marekani labda.sampling ndio maana hao wasanii wenu hatuwaoni BET hata nominees
Mziki ulipofika sasa kwa maproducer ni ngumu kutoboa kama huna kitu kizuri ukapata umaarufu. Ukiwa na kitu kizuri wasanii wakubwa wote wanaamia kwako kufuata kile kizuri ulicho nacho.Kuna Ukali na Umaharufu... Kutoka kwa s2kizzy kuna msanii gani Kaibuliwa na ana fanya vizuri kwenye tasnia ambae hatukua tukimfaham b4!?
Unataka kunambia beat za tunavesha, tetema, moyo, na far away hazinaladha ukiwa nazo kama instrumentals? Unaumwa wwUnaweza ukawa mbunifu ila unabuni vitu ambavyo kwenye jamii havipenyi kwa wakati au havieleweki sana either havina ladha mfano ni hizo beat za s2kizy ladha hamna kabisa,ni beat gani ya s2kizy utaiplay pekeake na ukaenjoy kama sio kuboeka tu.. Pita kwenye beats za akina ABBAH au yule dogo wa tongwe records BIN LADEN utafurahi mwenyewe na roho yako ndio maana wasanii kama akina DARASSA NA SAMAAAAAAAA wanatoboa.... Msanii hata awe mkali kama beat mbovu hamna kitu
Sasa mkuu ukaona uchukue avatar nilioweka mimi, sawa sijaichora mimi.
Tunavesha toa vocals ibaki beat,Unaweza ukawa mbunifu ila unabuni vitu ambavyo kwenye jamii havipenyi kwa wakati au havieleweki sana either havina ladha mfano ni hizo beat za s2kizy ladha hamna kabisa,ni beat gani ya s2kizy utaiplay pekeake na ukaenjoy kama sio kuboeka tu.. Pita kwenye beats za akina ABBAH au yule dogo wa tongwe records BIN LADEN utafurahi mwenyewe na roho yako ndio maana wasanii kama akina DARASSA NA SAMAAAAAAAA wanatoboa.... Msanii hata awe mkali kama beat mbovu hamna kitu
Abha kuna beat naona anamuiga kimambo. Naye yuko vizuri sana ila mimi ukimweka s2kizzy kwangu ni mkali zaidiDogo mzuri sema anatatizo la kusample kupita kiasi. Kwa hawa maproducer wa kipindi hiki Abbah ni wa kumuangalia vizuri pia
Niteke ya maua sana lile beat ni balaa yani beat lina hatari halafu limejaa sijui upepo ule, hata ile beat ya nandy na sauti sol ni shida nyingineKimambo ni konyo huyu ni Jini asee!!Beats zina vitu flani flani ivi sio vya duniani bablai,,Sikiliza Kolo ya Heri Muziki,Niteke ya Maua Sama,Banana ya Janjaro,Mimina ya Gigy money,Aibu ya Nandy,,yaani hadi Abbah, Blaq beatz na Yookeyz morento wameiga midondoko kwenye Wauwe ya Marioo
Laizer anajua kutengeneza beat za baibuda yule wasafi wasingeanza kwenda kweingine kupata ladha tofauti aisee angewapoteza. Siku hizi unakuta beat katengeneza mwingine vocal kafanya laizer, mfano nyegezi ile beat Black Q vocal kafanya laizer, far away ni s2kizzy vocal laizer same as tetemaeyooo Laizer