Dah! Sikujua kwamba mwamba kahusika mle!Blaq ni mkali sana hata ile nyegezi beat ileni balaa
"wamemchokoza Bear"
Hapana chezea Bear wewe.
Amekua na kujitegemea sasa.Bea alikuwa Ni mwanafunzi wa bin laden,..
Huyu jamaa hajui kwenda na wakatieyooo Laizer
Anapiga mavinanda hovyo kama kanisaniHuyu jamaa hajui kwenda na wakati
Huyo locklass sijawahi kumsikia kwani alishatengeneza beat ya mziki gani?Kwa upande wangu ni
Luffa
S2kizzy
Locklass
Kwa beats za Baibuda sidhani kama kuna Prodyuza wa Kuwafunika Abby Dad na AloneymLaizer anajua kutengeneza beat za baibuda yule wasafi wasingeanza kwenda kweingine kupata ladha tofauti aisee angewapoteza. Siku hizi unakuta beat katengeneza mwingine vocal kafanya laizer, mfano nyegezi ile beat Black Q vocal kafanya laizer, far away ni s2kizzy vocal laizer same as tetema
Loklass anapiga mzigo studio gani mkuu?Huyo locklass sijawahi kumsikia kwani alishatengeneza beat ya mziki gani?
Mi nae nae nilikuwa nasubiria jibuLoklass anapiga mzigo studio gani mkuu?
Wacha wana waje watupe mwanga.Mi nae nae nilikuwa nasubiria jibu