Kelevra
JF-Expert Member
- Nov 23, 2018
- 1,053
- 2,007
Umekuwa tu brainwashed ni hivi...ukiona producer wa bongo anatamba sana ujue anarecord Bure kwa wasanii wakubwa...basi ndo wanajazana hapo na ndo kila wimbo utakao usikia redio utatoka kwa producer Huyo na wewe ndo utaamini ndo mkali kwa kuwa wasanii wakubwa wanarecord kwake.
Producer akianza kuwatoza hela tu wanakimbia wote...wanaibukia kwingine kwenye Bure..
Maproducer no wachache sana bongo hapa na wengi hawafanyi Kazi sa hzi wanaangalia tu...ila kumbuka hao wasanii wakubwa wakiwa na Ideas Kali na pesa mkononi wanaenda zao kwa Pfunk...Mj records...kwa Hermy B and the likes.
Kusema S2kizzy ni mkali kwa sasa so kweli subiri aanze kucharge utamini nnachokwambia...Weusi walikua walikua hawaishi kwa Nahreel sahiz kwa S2kizzy ndo nyumbani jiulize...unafikiri uwezo was Nahreel umekwisha...Bob Maneck Man Walter and the likes? Ni ni kwamba wanataka cash na wasanii wengi wakubwa ni vitonga.
Usiwape sana vyeo maproducer wepesi wepesi do your research usiendeshwe na nani anasikika by nw.
Producer akianza kuwatoza hela tu wanakimbia wote...wanaibukia kwingine kwenye Bure..
Maproducer no wachache sana bongo hapa na wengi hawafanyi Kazi sa hzi wanaangalia tu...ila kumbuka hao wasanii wakubwa wakiwa na Ideas Kali na pesa mkononi wanaenda zao kwa Pfunk...Mj records...kwa Hermy B and the likes.
Kusema S2kizzy ni mkali kwa sasa so kweli subiri aanze kucharge utamini nnachokwambia...Weusi walikua walikua hawaishi kwa Nahreel sahiz kwa S2kizzy ndo nyumbani jiulize...unafikiri uwezo was Nahreel umekwisha...Bob Maneck Man Walter and the likes? Ni ni kwamba wanataka cash na wasanii wengi wakubwa ni vitonga.
Usiwape sana vyeo maproducer wepesi wepesi do your research usiendeshwe na nani anasikika by nw.