Mshume Kiyate
JF-Expert Member
- Feb 27, 2011
- 6,766
- 894
Wana JF.
Siku za karibu nilipata mualiko kutoka kwa rafiki yangu moja kula chakula cha jioni.
Nilipofika nyumbani kwa rafiki yangu, jamaa kanikalibisha vizuri pamoja na mke wake, chakula kikaletwa mezani.
Tukaanza kupakua chakula kwenye sahani nilichokiona ni Wali na Sausage, ambazo wamefanya mboga pamoja na juice za box.
Kwa kweli kila nikiweka mdomoni Wali na Sausage, radha yake inanishinda nikaamua kujiladhimisha tu mpaka nikakimaliza lakini nipo hoi.
Ukimuona mke wa rafiki ni mrembo sana lakini hafahamu kupika, huu ni mfano mmoja tu, lakini nimeona wanawake wengi wa sasa hivi hawajui kupika.
Wadau tatizo ni nini naomba tujadili hii kitu
Siku za karibu nilipata mualiko kutoka kwa rafiki yangu moja kula chakula cha jioni.
Nilipofika nyumbani kwa rafiki yangu, jamaa kanikalibisha vizuri pamoja na mke wake, chakula kikaletwa mezani.
Tukaanza kupakua chakula kwenye sahani nilichokiona ni Wali na Sausage, ambazo wamefanya mboga pamoja na juice za box.
Kwa kweli kila nikiweka mdomoni Wali na Sausage, radha yake inanishinda nikaamua kujiladhimisha tu mpaka nikakimaliza lakini nipo hoi.
Ukimuona mke wa rafiki ni mrembo sana lakini hafahamu kupika, huu ni mfano mmoja tu, lakini nimeona wanawake wengi wa sasa hivi hawajui kupika.
Wadau tatizo ni nini naomba tujadili hii kitu