Hivi kwa nini wanawake wa siku hizi hawafahamu kupika vyakula vizuri

Mshume Kiyate

JF-Expert Member
Feb 27, 2011
6,766
894
Wana JF.
Siku za karibu nilipata mualiko kutoka kwa rafiki yangu moja kula chakula cha jioni.

Nilipofika nyumbani kwa rafiki yangu, jamaa kanikalibisha vizuri pamoja na mke wake, chakula kikaletwa mezani.

Tukaanza kupakua chakula kwenye sahani nilichokiona ni Wali na Sausage, ambazo wamefanya mboga pamoja na juice za box.

Kwa kweli kila nikiweka mdomoni Wali na Sausage, radha yake inanishinda nikaamua kujiladhimisha tu mpaka nikakimaliza lakini nipo hoi.

Ukimuona mke wa rafiki ni mrembo sana lakini hafahamu kupika, huu ni mfano mmoja tu, lakini nimeona wanawake wengi wa sasa hivi hawajui kupika.

Wadau tatizo ni nini naomba tujadili hii kitu
 
aaiisee Wali na sausage ni bonge la disaster hata kama ukiamua uka fodge hio sausage upike kwa kuikalangiza. Sababu ni nyingi kwa kweli ambazo hupelekea hivo....

Malezi...

Wazazi wengi hasa Mama ambae ndio ana nafasi kubwa saana ya kumlea binti ili awe mwanamke kamilifu hua mara nyingi huchemka na kufikiri kwamb akimlea mwanae kisasa (kisasa hapa imekua defined vibaya) kua alelewe akiwa vidole juu.. bila kumfundisha kazi za msingi kama vile usafi wa nyumba... kufua nguo... mpangilio wa numbani na most importantly kupika.

Elimu

System ya elimu sasa hivi imebadilika saana... Na for the worse kwani watoto asilimia 95 ya maisha yake yamelenga tu elimu.... Mtoto toka grade one yupo boarding... mara anaesoma day anasoma na tuition (jamani imagine tuition ya darasa la kwanza)... Maisha yake yoote shule... Likizo akija anatafutiwa tuition na akirudi ajipumzishe na ajisomee... at the end of the day anakua a very great person careerwise but kupika hawezi...

Ushamba & Ulimbukeni...

Ladies wengine anaona sifa kusema kua hajui kupika... ili sijui aonekane matawi ama lah! sielewi.... For mie naelewa kua mtoto wa kike yeyote ambae amelelewa nyumba ya mama/mlezi anaejua kweli definition ya a true African woman... atamfundisha tu binti yeyote ndani kupika...awe mwanae ama lah ni muhimu mno.

Uvivu...

Kupika sio miujiza.... hata kama bahati mbaya ikatokea kua mtu hajui kupika ni muhimu akajituma na kujifunza na taratibu atajua.... Mwingine ni mvivu mno... ya akipika avavichemsha chemsha tu basi anaona kamaliza hakuna la ziada... Hata aende kwa mwenzie akapenda chakula hata kujisumbua na kuuliza vipi kapikaje habari hana kabisa!
 
Mkuu AshaDii umeongea vizuri sana,

Jambo lingine naloona hapa ni wanawake wengine wanaroho za kichoyo, wivu na kupenda kulipiza kisasi. Utakuta mwanaume keshamweleza kuwa kutakuwapo na mgeni siku ya leo au siku fulani lakini mwanamke anachukulia ndo muda wa kulipiza kisasi ugomvi wa siku za nyuma. Au utakuta mwanamke hapendi kuona wageni kwake, kwa hiyo anafanya vitu hovyo hovyo ili asitembelewe tena.

Wangu mimi anajua, akicheza vibaya napanda mwenyewe jikoni natoka na kitu kikali kwa hiyo hawezi kufanya upuuzi wa kupika hovyo.
 
Nakubaliana na AshaDii kwenye mchango wake ni kweli malezi yanachukuwa sehemu kubwa sana kwenye hili tatizo
 
aaiisee Wali na sausage ni bonge la disaster hata kama ukiamua uka fodge hio sausage upike kwa kuikalangiza. Sababu ni nyingi kwa kweli ambazo hupelekea hivo....

Malezi...

Wazazi wengi hasa Mama ambae ndio ana nafasi kubwa saana ya kumlea binti ili awe mwanamke kamilifu hua mara nyingi huchemka na kufikiri kwamb akimlea mwanae kisasa (kisasa hapa imekua defined vibaya) kua alelewe akiwa vidole juu.. bila kumfundisha kazi za msingi kama vile usafi wa nyumba... kufua nguo... mpangilio wa numbani na most importantly kupika.

Elimu

System ya elimu sasa hivi imebadilika saana... Na for the worse kwani watoto asilimia 95 ya maisha yake yamelenga tu elimu.... Mtoto toka grade one yupo boarding... mara anaesoma day anasoma na tuition (jamani imagine tuition ya darasa la kwanza)... Maisha yake yoote shule... Likizo akija anatafutiwa tuition na akirudi ajipumzishe na ajisomee... at the end of the day anakua a very great person careerwise but kupika hawezi...

Ushamba & Ulimbukeni...

Ladies wengine anaona sifa kusema kua hajui kupika... ili sijui aonekane matawi ama lah! sielewi.... For mie naelewa kua mtoto wa kike yeyote ambae amelelewa nyumba ya mama/mlezi anaejua kweli definition ya a true African woman... atamfundisha tu binti yeyote ndani kupika...awe mwanae ama lah ni muhimu mno.

Uvivu...

Kupika sio miujiza.... hata kama bahati mbaya ikatokea kua mtu hajui kupika ni muhimu akajituma na kujifunza na taratibu atajua.... Mwingine ni mvivu mno... ya akipika avavichemsha chemsha tu basi anaona kamaliza hakuna la ziada... Hata aende kwa mwenzie akapenda chakula hata kujisumbua na kuuliza vipi kapikaje habari hana kabisa!

Haki ya MUNGU Ashadii leo umetoa jibu ambalo ni jibu! Nakugongea "ka senks."
 
aaiisee Wali na sausage ni bonge la disaster hata kama ukiamua uka fodge hio sausage upike kwa kuikalangiza. Sababu ni nyingi kwa kweli ambazo hupelekea hivo....

Malezi...

Wazazi wengi hasa Mama ambae ndio ana nafasi kubwa saana ya kumlea binti ili awe mwanamke kamilifu hua mara nyingi huchemka na kufikiri kwamb akimlea mwanae kisasa (kisasa hapa imekua defined vibaya) kua alelewe akiwa vidole juu.. bila kumfundisha kazi za msingi kama vile usafi wa nyumba... kufua nguo... mpangilio wa numbani na most importantly kupika.

Elimu

System ya elimu sasa hivi imebadilika saana... Na for the worse kwani watoto asilimia 95 ya maisha yake yamelenga tu elimu.... Mtoto toka grade one yupo boarding... mara anaesoma day anasoma na tuition (jamani imagine tuition ya darasa la kwanza)... Maisha yake yoote shule... Likizo akija anatafutiwa tuition na akirudi ajipumzishe na ajisomee... at the end of the day anakua a very great person careerwise but kupika hawezi...

Ushamba & Ulimbukeni...

Ladies wengine anaona sifa kusema kua hajui kupika... ili sijui aonekane matawi ama lah! sielewi.... For mie naelewa kua mtoto wa kike yeyote ambae amelelewa nyumba ya mama/mlezi anaejua kweli definition ya a true African woman... atamfundisha tu binti yeyote ndani kupika...awe mwanae ama lah ni muhimu mno.

Uvivu...

Kupika sio miujiza.... hata kama bahati mbaya ikatokea kua mtu hajui kupika ni muhimu akajituma na kujifunza na taratibu atajua.... Mwingine ni mvivu mno... ya akipika avavichemsha chemsha tu basi anaona kamaliza hakuna la ziada... Hata aende kwa mwenzie akapenda chakula hata kujisumbua na kuuliza vipi kapikaje habari hana kabisa!

kati ya yote hayo naona malezi yanachangia sana. mzazi akishaona an hg basi hataki binti afanye kazi yoyote. kama binti nae ni cha uvivu ndio kabisaaa. sio tu kupika hata kufanya usafi pia wengi hawajiwezi.
 
Nakukubali sana AshaD..kwa kuongezea tu,wanawake watajua wapi kupika na wakati kula kwao ni chips na take away?...ndo maana wanaume tunaona haina haja ya kuoa kama hata kupika mke hajuhi ama anaona ni karaha

NB.wanawake jamani hatuwahoi na kuwaleta ndani ili kuja ku-do tu,kama ndo hvyo ni bora nitembelee ambiance nikagonge za kikweli,nikikuleta ndani ni nafasi yako kujituma ktk kila jambo
 
kuwa na house girl hiyo sio tatizo! Shida kubwa kinadada wengi wamekuwa wavivu na hawajitumi wala hawana ubunifu.
 
na wazazi wengine unakuta binti akiolewa na house girl wa nyumbani anahamia kwa binti....
yaani...
Yah!! Nimeishaona mara mbili hapo umenikumbusha kuna kijana mmoja alioa sasa mzee wake kwenye compound yake alikuwa na nyumba mbili sasa ile moja ndio akampa mtoto ndio awe anakaa humo humo watu wakawa wanasema hakuna tofauti maana unaingia geti mmoja na mzee wako ma-house girl walewale tena waliongezeka wakawa wanne ukijumlisha na wale wa mzee wake hapo bado haujazungumzia house-boy waliokuwepo yaani in total nyumba ilikuwa ina wafanyakazi wasiopungua sita house girl wanne na house boy wawili sasa hapo mtoto anaweza kujifunza hata kufagia kweli?
 
aaiisee Wali na sausage ni bonge la disaster hata kama ukiamua uka fodge hio sausage upike kwa kuikalangiza. Sababu ni nyingi kwa kweli ambazo hupelekea hivo....

Malezi...

Wazazi wengi hasa Mama ambae ndio ana nafasi kubwa saana ya kumlea binti ili awe mwanamke kamilifu hua mara nyingi huchemka na kufikiri kwamb akimlea mwanae kisasa (kisasa hapa imekua defined vibaya) kua alelewe akiwa vidole juu.. bila kumfundisha kazi za msingi kama vile usafi wa nyumba... kufua nguo... mpangilio wa numbani na most importantly kupika.

Elimu

System ya elimu sasa hivi imebadilika saana... Na for the worse kwani watoto asilimia 95 ya maisha yake yamelenga tu elimu.... Mtoto toka grade one yupo boarding... mara anaesoma day anasoma na tuition (jamani imagine tuition ya darasa la kwanza)... Maisha yake yoote shule... Likizo akija anatafutiwa tuition na akirudi ajipumzishe na ajisomee... at the end of the day anakua a very great person careerwise but kupika hawezi...

Ushamba & Ulimbukeni...

Ladies wengine anaona sifa kusema kua hajui kupika... ili sijui aonekane matawi ama lah! sielewi.... For mie naelewa kua mtoto wa kike yeyote ambae amelelewa nyumba ya mama/mlezi anaejua kweli definition ya a true African woman... atamfundisha tu binti yeyote ndani kupika...awe mwanae ama lah ni muhimu mno.

Uvivu...

Kupika sio miujiza.... hata kama bahati mbaya ikatokea kua mtu hajui kupika ni muhimu akajituma na kujifunza na taratibu atajua.... Mwingine ni mvivu mno... ya akipika avavichemsha chemsha tu basi anaona kamaliza hakuna la ziada... Hata aende kwa mwenzie akapenda chakula hata kujisumbua na kuuliza vipi kapikaje habari hana kabisa!

unidai soda baadae.
 
AshaDii aksante kwa jibu zuri sana.

Mtoa mada tatizo ni kutojua kupika au aina ya chakula ulichokikuta? Nilitegemea ungesema wali ulikuwa mbichi! Inawezekana kabisa kuwa huyo mdada anajua sana tu kupika but siku hiyo hiyo ndo ilikuwa menyu of the day bana na wenyewe weshaizoea na wanaipenda!

Ila ni kweli nakubaliana na jibu la AishaDii kwa asilimia zote!
 
Heri hiyo wali na sausage! Niliwahi kutembelea nyumba moja nikawa napigwa juice tu, kila ikimaliza najaziwa. Halaf lile jidada likajifanya kuniambia kwa mbwembwe "Unajua shem? humu tunaish kizungu, tunakeep shape, si unajua figure ni muhim shem?, likamalizia na kicheko cha pwani" , Baada ya kufatilia nikaambiwa kumbe hauzigeli wao kaenda kijijini kumuuguza babaake wa kambo, hamna cha uzungu wala uhafu kasti.

Dah! hasira za kukosa ubwabwa sku ile zilinifanya nizime sim kabisa yaani.
 
Sikuhizi kwenye vibanda vya chipsi foleni wanaume, wadada, wakaka, etc. labda mafuta ya taa yamepanda bei. Ninavyo jua watoto wa dotcom wanajua kupika ni kaiz ya mdada mdogodogo anayeitwa hausigel. Japo hata wanaume wa sikuhizi nao vimeo. kama keo hajapika na unajua kuna mgeni , ingia jikoni watajifunza. huo ndio ukichwa wanyumba. Kuna wanaume wasio jua chochote cha nyumbani, anacho jua ni nguo ilyo nyoshwa iio wapi. Mwanamke kimeo + mwanaume kimeo =balaa.
 
AshaDii aksante kwa jibu zuri sana.

Mtoa mada tatizo ni kutojua kupika au aina ya chakula ulichokikuta? Nilitegemea ungesema wali ulikuwa mbichi! Inawezekana kabisa kuwa huyo mdada anajua sana tu kupika but siku hiyo hiyo ndo ilikuwa menyu of the day bana na wenyewe weshaizoea na wanaipenda!

Ila ni kweli nakubaliana na jibu la AishaDii kwa asilimia zote!

Mkuu, soma vizuri bandiko langu hakuna mwanamke ambae ajui kupika.

Nimesema hivi wanawake wengi wa siku hizi hawafahamu kupika vyakula vizuri, mimi binafsi ni Mwanaume, sijui kupika baadhi ya vyakula lakini najua vyakula vizuri.

Chakula kizuri kinajulika bana, kwanza kinavutia kwa macho pili harufu, tatu delicious..

Kupika ni fani lazima ufundishwe kama wewe umezoe kula vyakula ili ujaze tumbo wengine tupo tofauti mkuu
 
Back
Top Bottom