Hivi kwa nini wanawake wa siku hizi hawafahamu kupika vyakula vizuri

kujua kupikahuwa ndo kigezo chang namba moja...wengi wameshindwa kukidhi kihi kigezo na niliiwaondoa kabla hata hatujafika mbali
 
Haki ya MUNGU Ashadii leo umetoa jibu ambalo ni jibu! Nakugongea "ka senks."

Asante Malalika....

kati ya yote hayo naona malezi yanachangia sana. mzazi akishaona an hg basi hataki binti afanye kazi yoyote. kama binti nae ni cha uvivu ndio kabisaaa. sio tu kupika hata kufanya usafi pia wengi hawajiwezi.

Nakubaliana nawe kabisa Mpenzi....

unidai soda baadae.

If you don't mind naomba iwe Amarula...

Sista, Ivi kwenu hakuna msichana aliye salia. hata beberu 5000 nipo tayari kwa mawazo haya uliyo yatoa hapa.

oooh! Hamna... labda niambie una Umri gani niongee na Mupenzi labda waweza kuja jitambulisha kwa ajili ya binti yetu... Mzee yeye mradi una Master card...lol
 
kama mwanamke:

hajui kupika
hajui usafi
si mbunifu
hana mawazo chanya
hana upendo
mlafi
si mkweli kwa mumewe


hakika hawezi na hafai kuwa mke maana ataufanya uzee wako uwe wa manung'uniko
 
AshaDii kaongea vizuri sana.
Nakubaliana na suala la elimu limechangia sana.
Ukitaka kupikiwa vizuri, tafuta mwanamke ambaye hajasoma, ambaye hafanyi kazi! Utaenjoy!
But maisha ya siku hiz ya baba na mama wote wanahangaika..wanatoka usiku wanarudi usiku..huo muda wa huyo mwanamke kuexperience kupika na kujua mapish mbalimbali ataupata wapi?


Rejao naomba nipingane na hii post yako kakangu... na tafadhali tuombe radhi kabisa (ingawa nakubali idadi kubwa iko hivo) Mbona tupo tulosoma na kazi twafanya na chakula twajua kupika.... Hio ni mpangilia mbovu tu wa Mzazi na mpangilio... Nimeona wengine wameongelea swala la wafanya kazi... Mimi nimekulia nyumba ambayo hatujawahi kukosa house gal ndani hata siku moja, saa ingine hata wawili.. BUT Mamangu ndo wale wanawake Strict; ni lazima upangiwe responsibilities ndani... hajali kua unawahi shule ama eti unarudia twisheni... It is just about multi-tasking; learning and being good at it... Mzazi inatakiwa ahakikishe bintiye mpaka anafika age 16 awe anaweza kila kitu kinachohusiana na nyumbani... From kutunza nyumba, budgeting, kutunza nguo (kufua, kunyosha kupanga, walau hata kushona vifungo ama hemming in case imetatuka), Usafi wa kila mahala na mazingira safi ya nyumbani... Hivo hilo swali lako la mwisho.... ni mpangilio tu!
 
Asante Malalika....



Nakubaliana nawe kabisa Mpenzi....



If you don't mind naomba iwe Amarula...



oooh! Hamna... labda niambie una Umri gani niongee na Mupenzi labda waweza kuja jitambulisha kwa ajili ya binti yetu... Mzee yeye mradi una Master card...lol

hahaha, hata si amini, watu kama nyie naweza subiri hata vituku vyenu. mastercard siyo shida. ina maana huyo binti yako hataki digidigi
 
Rejao naomba nipingane na hii post yako kakangu... na tafadhali tuombe radhi kabisa (ingawa nakubali idadi kubwa iko hivo) Mbona tupo tulosoma na kazi twafanya na chakula twajua kupika.... Hio ni mpangilia mbovu tu wa Mzazi na mpangilio... Nimeona wengine wameongelea swala la wafanya kazi... Mimi nimekulia nyumba ambayo hatujawahi kukosa house gal ndani hata siku moja, saa ingine hata wawili.. BUT Mamangu ndo wale wanawake Strict; ni lazima upangiwe responsibilities ndani... hajali kua unawahi shule ama eti unarudia twisheni... It is just about multi-tasking; learning and being good at it... Mzazi inatakiwa ahakikishe bintiye mpaka anafika age 16 awe anaweza kila kitu kinachohusiana na nyumbani... From kutunza nyumba, budgeting, kutunza nguo (kufua, kunyosha kupanga, walau hata kushona vifungo ama hemming in case imetatuka), Usafi wa kila mahala na mazingira safi ya nyumbani... Hivo hilo swali lako la mwisho.... ni mpangilio tu!

Du, we kweli mama wa ukweli
 
Mke wangu nimeamua kumpeleka Veta maana alinipikia ugali wenye mabonge na unga unga sikuamini ni yeye.
 
Ma housegirl watatu houseboy mmoja na shambaboy, unategemea watajifunza kupika saa ngapi, siku ingine mwambie akate hizo soseji kidogokidogo, amwagie na korosho then kitunguu, hoho, karoti, mafuta kwa mbali akaange mpaka viwe brown, uone kama hujajilamba, watu wengine sie ni noma kwa mapishi, hakuna kitu kinanishinda kukigeuza kisichopendwa kikawa kinapendwa
Wanitia mate wallah
 
Wanawake wa JF hamna aliyeshiriki shindano la Mama Shujaa wa Chakula?
 
hahahahaha, nimegoogle nikashangaa kisimu changu kimekata network. Lol.
Hebu niambie bana nikajifunze hayo mapishi.

Badae Laptop ikijaa charge google.
Au pitia hii site...www.foodmamma.com au www.chachiskitchen.blogspot.com
 
Rejao; AshaDii kaongea vizuri sana.
Nakubaliana na suala la elimu limechangia sana.
Ukitaka kupikiwa vizuri, tafuta mwanamke ambaye hajasoma, ambaye hafanyi kazi! Utaenjoy!
But maisha ya siku hiz ya baba na mama wote wanahangaika..wanatoka usiku wanarudi usiku..huo muda wa huyo mwanamke kuexperience kupika na kujua mapish mbalimbali ataupata wapi?




Mkuu nitapingana na wewe kwenye blue hapo. Mwanamke kuwa msomi haina maana ndo iwe sababu ya kutojuwa kupika (mfano ninao), tatizo ni malezi aliyopata binti na siyo elimu yake. Mimi mtoto wa kiume nijuwe kupika alafu mke wangu asijuwe? Kama hajui lazima ajifunze maana sitegemei H/girl anipikie kila siku..Masuala ya kuwa busy na maisha kwa wote baba na mama sikatai lakini mda mnapokuwa wote nyumbani siku za w/end ni mda mwafaka wa kubadili mlo siyo H/girl tena. Mwanangu wa kiume mika 7 anaingia jikoni sembuse wa kike?.

Kuna raha yake bwana kula chakula alichopika mkeo na siyo kila siku kupikiwa na h/girl.
 
HApa nyumbani kwangu hawawezi kupiga vitafunwa, yupo Wife, msichan wa kazi, na mama mkwe wote hakuna kitu.
Sasa huwa nasimama hapa uwanjani natukana wote akiwemo mzaaa hiyo kitu,
 
Back
Top Bottom