Wakuu wa JF.
Mimi binafsi kuna kitu kinatatiza kidogo nimejaribu kutafuta jibu nimekosa nakaona nije hapa kwa Great Thinkers..
Kwa nini Wachagga wengi meno ya rangi ya gold? Mwenye kujua naomba anijuze
Wakuu wa JF.
Mimi binafsi kuna kitu kinatatiza kidogo nimejaribu kutafuta jibu nimekosa nakaona nije hapa kwa Great Thinkers..
Kwa nini Wachagga wengi meno ya rangi ya gold? Mwenye kujua naomba anijuze
Nimejumuisha makabila yote yaliyopo Arusha..ndiyo maana nimesema waarusha! Mimi nimesoma hapo Ilboru..nilijitahidi sana kutotumia maji ya huo mto Ilboru hapo cuz nilikuwa nikiangalia majirani wote wanaotumia maji ya huo mto meno yao yamebadilika.Nawe Rejao watake radhi wenyeji. Hakuna kabla la waarusha wapo maasai ama haujapitia History darasani? Na bila shaka we na huyo mwenzio ritz hamna tofauti ktk ID zenu. Meno yako mwenyewe ndiyo hivyo. Tena watake radhi mapema.
Wakuu wa JF.
Mimi binafsi kuna kitu kinatatiza kidogo nimejaribu kutafuta jibu nimekosa nakaona nije hapa kwa Great Thinkers..
Kwa nini Wachagga wengi meno ya rangi ya gold? Mwenye kujua naomba anijuze
Tafuta Dawa zake hiyo gold yote inaondoka Mangi mbeMeno ya Gold ndo habari ya Kilimanjaro
Mi sijui hata yalikujaje kwa kinywa changu