Hivi kuwa mwana CCM na mpenda haki, mpiga ufisadi, na mzalendo wa kwelikweli kabisa kutoka moyoni ni kosa linalostahili kutekwa?

Hivi kuwa mwana CCM na mpenda haki, mpiga ufisadi, na mzalendo wa kwelikweli kabisa kutoka moyoni ni kosa linalostahili kutekwa?

covid 19

JF-Expert Member
Joined
May 9, 2014
Posts
8,036
Reaction score
20,031
Kuna mambo yanafurahisa sana wakuu..

Yaani kosa la yule jamaa ni kuwa mkweli na kuwa mzalendo kwa chama chake na taifa... serious kabisa kama taifa lenye vyombo vya dola, mahakama, serikali na watu wenye akili timamu kabisa kabisa tumeamua kuacha na kukaa kimya.

Ni aibu sana kwa vyombo vyetu vya dola usalama, jeshi , polisi na wengine kuyaachia haya mambo yaende hivi ni aibu sana sana kwa taifa tumeamua kuwa wabinafsi kuliko kuilinda Tanzania kwa nguvu zetu zote na kwa akili zetu zote.
 
Kuna mambo yanafurahisa sana wakuu..

Yaani kosa la yule jamaa ni kuwa mkweli na kuwa mzalendo kwa chama chake na taifa... serious kabisa kama taifa lenye vyombo vya dola, mahakama, serikali na watu wenye akili timamu kabisa kabisa tumeamua kuacha na kukaa kimya.
Kama wameisha mnaniilii, then ameenda straight mbinguni peponi kwa Baba Yake na yuko na Baba yake, na hao walio mnanilii, moto wa jehenum unawasubiri, na aliyewatuma atafanywa kuni.

P
 
Back
Top Bottom