Hivi kutembea na malove bite ni sifa au??

Hivi kutembea na malove bite ni sifa au??

Siku ya kwanza kuwekwa love bite shingoni sikujua kama ilibaki alama sasa niliporudi nyumbani nikaulizwa hapo umefanya nini..nikasema nimeng'atwa na mdudu
 
Jamani mi sijawai muona mtu na hizo love bite... Au sizijui!!!?
Alafu mtu mweusi pia anaweza kua nazo?
 
mmh i dont believe guys kama hamjuii hii au hamjawahi date wanawake weupe kidding. Anyways ni ile watu wapo wanafanya yao then wanang'atana shingoni
Umeamka na genye nn? Genye mabaya sana. Pole
 
Aiseee.... hapa mi mgeni kabisa. kumbe kuna kung'atana mpaka alama inabaki..!!
 
Sitaki hata kuongea maana nikikumbuka nahisi aibu
 
am matured enough
you not..a true liar.
a matured person will never come on public and utter such a nonsense ....... KIFUPI NI KUWA UNA HAMU NA LOVE BITES...KARIBU NIKUPE MOJA BUT THIS IS AN OFFER..AM EXPECTING NOTHING FROM THIS OFFER..JUST A LOVE BITE AND OFF WE PART WAYS.... NO STRINGS ATTACHMENT THEREAFTER.
 
kwa njaa hii nilidhani hayo malovebite unanywea chai nilitaka nikayanunue.,ahsante mdau mmoja aliyeweka picha hapo juu
 
you not..a true liar.
a matured person will never come on public and utter such a nonsense ....... KIFUPI NI KUWA UNA HAMU NA LOVE BITES...KARIBU NIKUPE MOJA BUT THIS IS AN OFFER..AM EXPECTING NOTHING FROM THIS OFFER..JUST A LOVE BITE AND OFF WE PART WAYS.... NO STRINGS ATTACHMENT THEREAFTER.
Hebu tuwege na heshima jamani even once in a while post ya mwaka 2011 unakuja kunitag leo hii... grow up man achana na mimi. fanya yako yaliyokuleta mtandaoni

Sent from my E2303 using JamiiForums mobile app
 
Upo darasa la ngapi?
Kaka nikiamua kusoma sasa hivi lazima itakuwa ni PhD. Ila hayo ma love bite ndio nimepata idea nayo kwenye hi thread huku mbeleni, ila sijawahi kuyaexperience.
Kusoma kwangu sana seminari kunaweza kuwa sababu ya kutofahamu hiyo kitu
 
Kuna teacher mmoja wa kiume wakati nipo A level, alisafiri kwenda kwa gf alikuwa mkoa mwingine ile kurudi love bite kibao mmh
Love bite ndo mpango mzima, mi Gf wangu huwa nampiga chata za malove bite hadi kwenye papuchi...., we unashangaa za shingoni!??
 
Kuna dada nilikutana nae mahali yani aibu niliona mimi maana ni mweupe sasa huko shingoni ni shidaaaa
 
Nawapa siri wanawake wengine ilikuficha hizi Love bite zisionekane unaweka scarf, au unazungushia mtandio shingoni kama sio kubwa sana waweza weka plasta. Its embarrassing really kuzunguka na Malove tho muda inawekwa waweza usijue coz unasikilizia tu raha ya kunyonywa baadae mkimaliza shughuli ndio unaona duuh. Na wanaume wengine akiwa anafika kileleni anapenda anyonye mahali basi akikamata shingoni ndio hizo zinazokuwa kubwa.
Tatizo mtu hujijui kama ipo hadi uambiwe...naona it happens a lot to young people
Hivi married people mbona sizionagii ..sijui ni vile utu uzimani kimoja mnalala lovebite itoke wapii haha
 
Jamani mi sijawai muona mtu na hizo love bite... Au sizijui!!!?
Alafu mtu mweusi pia anaweza kua nazo?
Young people watu wanakazana round sita za sifa kwanini wazikose
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom