Hivi kusudi la maisha ni nini?

Hivi kusudi la maisha ni nini?

Traxtion

JF-Expert Member
Joined
Dec 10, 2021
Posts
5,895
Reaction score
11,788
Kwani kusudi la maisha ni nini?

Miaka 80-120 ijayo hatutakuwepo hapa duniani, tutakufa, tutazikwa na kuwa mavumbi. Kitu kitakachobaki labda ni skeleton zetu chini ya ardhi kama ushahidi kuwa tulikuwepo.

Watu wanasoma, wanapata ajira, wanakuwa na familia halafu mwisho wa siku wanakufa 🙄
Wakifa wanakuja wengine wanazaliwa, wanaishi, wanapata familia halafu wanakufa. Wakifa hao pia wanakuja wengine wanazaliwa wanaishi halafu wanakufa, na hao wakifa wanazaliwa wengine halafu wanaendeleza mzunguko uleule. Ili iweje? Hii cycle ya existence ina maana gani?

Sio sisi tu, kuanzia kuku, mbuzi, samaki, simba yani viumbe vyote vinakuja duniani, vinaishi halafu vinakufa. Vikifa vinakuja viumbe vingine kuendeleza mzunguko uleule.

Cha kushangaza kuna hadi small creatures kama bakteria ambavyo navyo vinaishi vinakufa nk, ili iweje 🧐🙄

Aliyetengeneza huu mfumo ni nani, na lengo lake lilikuwa ni lipi haswa? Nashindwa kuelewa kabisa hii cycle. It feels so meaningless
 
Kwani kusudi la maisha ni nini?

Miaka 80-120 ijayo hatutakuwepo hapa duniani, tutakufa, tutazikwa na kuwa mavumbi. Kitu kitakachobaki labda ni skeleton zetu chini ya ardhi kama ushahidi kuwa tulikuwepo.

Watu wanasoma, wanapata ajira, wanakuwa na familia halafu mwisho wa siku wanakufa 🙄
Wakifa wanakuja wengine wanazaliwa, wanaishi, wanapata familia halafu wanakufa. Wakifa hao pia wanakuja wengine wanazaliwa wanaishi halafu wanakufa, na hao wakifa wanazaliwa wengine halafu wanaendeleza mzunguko uleule. Ili iweje? Hii cycle ya existence ina maana gani?

Sio sisi tu, kuanzia kuku, mbuzi, samaki, simba yani viumbe vyote vinakuja duniani, vinaishi halafu vinakufa. Vikifa vinakuja viumbe vingine kuendeleza mzunguko uleule.
Cha kushangaza kuna hadi small creatures kama bakteria ambavyo navyo vinaishi vinakufa nk, ili iweje 🧐🙄

Aliyetengeneza huu mfumo ni nani, na lengo lake lilikuwa ni lipi haswa? Nashindwa kuelewa kabisa hii cycle. It feels so meaningless
Master Bros - Nini maana ya Maisha. (c) 2002
 
{ وَمَا خَلَقۡتُ ٱلۡجِنَّ وَٱلۡإِنسَ إِلَّا لِیَعۡبُدُونِ }
[Surah Adh-Dhāriyāt: 56]

Nami sikuwaumba majini na watu ila waniabudu Mimi

{ مَاۤ أُرِیدُ مِنۡهُم مِّن رِّزۡقࣲ وَمَاۤ أُرِیدُ أَن یُطۡعِمُونِ }
[Surah Adh-Dhāriyāt: 57]
Na sitaki kwao riziki, wala sitaki wanilishe

إِنَّ ٱللَّهَ هُوَ ٱلرَّزَّاقُ ذُو ٱلۡقُوَّةِ ٱلۡمَتِینُ (58) }
[Surah Adh-Dhāriyāt🙂 Hakika Mwenyezi Mungu ndiye Mwenye kuruzuku, Mwenye nguvu, Madhubuti.58]


Umeumbwa ili uje kufanya ibada
 
Ushazaliwa hivyo , una nafasi ya kuyapa maisha maana , na hakuna haja ya kuogopa kufa kwa sababu pia hata kabla ya kuzaliwa haukuwepo tu na wala hakukua na tatizo lolote
Kweli unaweza ukajitengenezea mazingira yako ya ku enjoy maisha ukaishi kwa raha hadi unakufa na ndio kitu cha maana
Ila tu sielewi hii cycle ipo ajili gani. Mfano kuna watu walikuwepo karne 17 zilizopita huko sasahivi hata hawapo tena, walikuja wakaishi wakafa na sisi leo 2026 tunaendelea kurudia kilekile wanachofanya, ila huu mzunguko una lengo gani?
Nashindwa jinsi ya kuliweka swali vizuri likaeleweka kirahisi
 
{ وَمَا خَلَقۡتُ ٱلۡجِنَّ وَٱلۡإِنسَ إِلَّا لِیَعۡبُدُونِ }
[Surah Adh-Dhāriyāt: 56]

Nami sikuwaumba majini na watu ila waniabudu Mimi

{ مَاۤ أُرِیدُ مِنۡهُم مِّن رِّزۡقࣲ وَمَاۤ أُرِیدُ أَن یُطۡعِمُونِ }
[Surah Adh-Dhāriyāt: 57]
Na sitaki kwao riziki, wala sitaki wanilishe

إِنَّ ٱللَّهَ هُوَ ٱلرَّزَّاقُ ذُو ٱلۡقُوَّةِ ٱلۡمَتِینُ (58) }
[Surah Adh-Dhāriyāt🙂 Hakika Mwenyezi Mungu ndiye Mwenye kuruzuku, Mwenye nguvu, Madhubuti.58]


Umeumbwa ili uje kufanya ibada
Ili iweje
 
{ وَمَا خَلَقۡتُ ٱلۡجِنَّ وَٱلۡإِنسَ إِلَّا لِیَعۡبُدُونِ }
[Surah Adh-Dhāriyāt: 56]

Nami sikuwaumba majini na watu ila waniabudu Mimi

{ مَاۤ أُرِیدُ مِنۡهُم مِّن رِّزۡقࣲ وَمَاۤ أُرِیدُ أَن یُطۡعِمُونِ }
[Surah Adh-Dhāriyāt: 57]
Na sitaki kwao riziki, wala sitaki wanilishe

إِنَّ ٱللَّهَ هُوَ ٱلرَّزَّاقُ ذُو ٱلۡقُوَّةِ ٱلۡمَتِینُ (58) }
[Surah Adh-Dhāriyāt🙂 Hakika Mwenyezi Mungu ndiye Mwenye kuruzuku, Mwenye nguvu, Madhubuti.58]


Umeumbwa ili uje kufanya ibada
Duh 🙄
Hongera yenu mliotafuta imani thabiti na kuishikilia, ni vizuri sana for mental health
Binafsi kila nikifikiria wazungu na waarabu walivyonyanyasa waafrika, kuwaibia rasilimali na kuwafanya watumwa halafu haohao ndio wakatuletea dini kwa kipindi hicho, nawaona kama matapeli

Kwa mfano Mungu anataka tufanye ibada ili iweje
 
Aliyetengeneza huu mfumo ni nani, na lengo lake lilikuwa ni lipi haswa? Nashindwa kuelewa kabisa hii cycle. It feels so meaningless
Kiimani Mungu ana mipango yake, ila nje ya imani sidhani kama ni cycle bali ni kama evolution, dunia ilianza kwa single cell organism ikaenda tukapata modern human being kisha cilivization ikaanza mpaka sasa tuna Artificial intelligence hivyo tutazidi ku evolve kadri siku zinavyoenda, ila ukisema ni cycle ina maana tutakuja kuwa tena single cell kisha kuwa tulipo sasa tena na tena, wakati sio kitu kama hicho au lau kama unasema reincarnation basi nahisi itakuwa ni cycle
 
Kweli unaweza ukajitengenezea mazingira yako ya ku enjoy maisha ukaishi kwa raha hadi unakufa na ndio kitu cha maana
Ila tu sielewi hii cycle ipo ajili gani. Mfano kuna watu walikuwepo karne 17 zilizopita huko sasahivi hata hawapo tena, walikuja wakaishi wakafa na sisi leo 2026 tunaendelea kurudia kilekile wanachofanya, ila huu mzunguko una lengo gani?
Nashindwa jinsi ya kuliweka swali vizuri likaeleweka kirahisi
Mimea → wanyama → vifo → kuoza → virutubisho → mimea tena.

Cycle ipo hivyo kufanya uhai kwenye safari yetu uwepo tu kama ilivyo asili yake tu.
 
Kiimani Mungu ana mipango yake, ila nje ya imani sidhani kama ni cycle bali ni kama evolution, dunia ilianza kwa single cell organism ikaenda tukapata modern human being kisha cilivization ikaanza mpaka sasa tuna Artificial intelligence hivyo tutazidi ku evolve kadri siku zinavyoenda, ila ukisema ni cycle ina maana tutakuja kuwa tena single cell kisha kuwa tulipo sasa tena na tena, wakati sio kitu kama hicho au lau kama unasema reincarnation basi nahisi itakuwa ni cycle
Niliposema cycle sikumaanisha kuwa mtu mmoja anazaliwa leo halafu anakuja kuzaliwa tena na tena na tena. Pia sikumaanisha kuwa tunazunguka kwenye evolution eti kuwa ipo siku tutakuwa primates tena kurudi kwenye single cell organism, hapana

Cycle ninayozungumzia ni ya hivi vitendo KUZALIWA -- KUISHI-- KUFA
Au simply KUJA DUNIANI---- KUISHI---- KUONDOKA DUNIANI
Yani haijalishi kama mtu amezaliwa mwaka 1300 au amezaliwa 2026, wote vitendo ni vilevile, kuzaliwa halafu wanaishi halafu anakufa, vinajirudia vitendo vilevile kwa watu tofauti tofauti miaka nenda miaka rudi

Pia kuhusu terminology, haijalishi ni cycle, series or whatever. Still I can't understand what's the point of it
 
Back
Top Bottom