Hivi kuna watu mpaka leo wanatumia mabando ya 2100?

Hivi kuna watu mpaka leo wanatumia mabando ya 2100?

Mpambanaji17

Senior Member
Joined
Feb 18, 2024
Posts
100
Reaction score
181
Yaani unatumia bando linaisha ata hujamaliza siku akati kuna Pocket wifi za yas kwa sh140,000 unapata kifaa chenywe kinakaa na charge masaa 8 mpaka 10 nakupa na unlimited bundle mwezi mzima baada ya mwezi utakua unarenew kwa 70,000 tu kupata unlimited bundle yako.

Nina pocket wifi za Yas  guyz atakaekuwa anahitaji. Zinauzwa efu 50 tu ☎️0717000200(WEBP).webp
 
Yaani unatumia bando linaisha ata hujamaliza siku akati kuna Pocket wifi za yas kwa sh140,000 unapata kifaa chenywe kinakaa na charge masaa 8 mpaka 10 nakupa na unlimited bundle mwezi mzima baada ya mwezi utakua unarenew kwa 70,000 tu kupata unlimited bundle yakoView attachment 3656097
Au vile ni pocket WiFi ndio maana unauza 140K kuna zile router nilinunua kwa 105K nailipia 70K iko safi tu speed nzuri kwa matumizi
 
Yaani unatumia bando linaisha ata hujamaliza siku akati kuna Pocket wifi za yas kwa sh140,000 unapata kifaa chenywe kinakaa na charge masaa 8 mpaka 10 nakupa na unlimited bundle mwezi mzima baada ya mwezi utakua unarenew kwa 70,000 tu kupata unlimited bundle yakoView attachment 3656097
4G kwa 140k? Wakati Airtel 5G kwa 100k.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom