Masikini yeyote ambaye hapendi kujishughulisha lazima awe na tabia za aina hiyo... Usiombe hali yako iwe nzuri kidogo alafu ukae karibu na ndugu wenye hali mbaya! Watakuandama kwa ubaya hadi ukome alafu walivyo wapumbavu wakipata matatizo wanaona ni haki yao wewe kuwasaidia🤣