Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,595
- 215,273
Msure na nshomileMimi hapa mmoja wapo,na sikuiz mwenyewe nimekua mshua kabisa.
Msure na nshomileMimi hapa mmoja wapo,na sikuiz mwenyewe nimekua mshua kabisa.
wapo
Vipi mzee unataka kukopa nn tiririka
kumbee we ni wa kitambo sanasijafaham unachomaanisha lakini uelewe kuwa mimi si mtoto wa umri wenu. mtu aliye above 40s si wa kumfananisha na watoto wa humu ndani. sema tu sisi wengine tunapenda kujichanganya na kila umri mimi nimezaliwa early 70s
Mimi sio mtoto wa kishua ni kapukuMbona jf hakuna makapuku, humu wote mambo safi, mboga Saba, hi daddy hi mommy....
wapo
Sio wote jamani, wengine sisi wasaka nyoka tu
Mhenga kabisakumbee we ni wa kitambo sana
Mimi tena? Acha kabisa mkuu iwe tu nyuma ya keyboardHata wewe?
wapoWapo au Mpo?
Nshomile katika uboraMimi hapa mmoja wapo,na sikuiz mwenyewe nimekua mshua kabisa.
Sasa mie wa samvu la chole ntakuwa wakishua kweli mkuu haya bhanaHumu
Kila mtu ana nyumba kali
Kila mtu ana gari
Kila mtu ni mkuu
Humu wote wa kishua
KWANI MAKAMBA, RIZ1,KIMAMBE,LEMUTUZ NK SIO WATOTO WA KISHUA NA WAPO HUMU TUNAPISHANAbaada ya kufatilia nyuzi nyingi na mada nyingi zinazoanzishwa jf na wana jf........
hadi najiulizaga hivi humu jf kuna watoto wa kishua ambao tupo nao humu ndanii wanaotumia hili jukwaaa ninaposema watoto wa kishuaa nina maana mambo safi