daaahMbona jf hakuna makapuku, humu wote mambo safi, mboga Saba, hi daddy hi mommy....
Vipi mzee unataka kukopa nn tiririka
We unajitoa?wapo
Mhh, mkuu mbona unajitoa tena? Ndio weweMimi tena? Acha kabisa mkuu iwe tu nyuma ya keyboard
Humu
Kila mtu ana nyumba kali
Kila mtu ana gari
Kila mtu ni mkuu
Humu wote wa kishua
Ni mimi amni ni mimi mkuuHapo kwenye mkuu ndo sielewagi kabisa hyo jina nan alileta humu
Yani mkuu hadi Mimi nimelikuta na nitaendelea kulitumia ........tehetehe....Hapo kwenye mkuu ndo sielewagi kabisa hyo jina nan alileta humu
Najitoa kivipi, mi mchimba chumvi tuMhh, mkuu mbona unajitoa tena? Ndio wewe
Pole kwa kukuwazia vibaya, lakini haufanani na haoNajitoa kivipi, mi mchimba chumvi tu