Pelham 1
JF-Expert Member
- Feb 29, 2012
- 548
- 99
Tangia nimejiunga na JF nina miaka 5 sasa JF.
Mpaka sijawahi hata kwa bahati mbaya kukutana na mwanamke mzuri humu JF
kila ninaekutana nae sio mzuri wa sura wa shepu.
Na kitu kimoja tulichobakiwa na kupewa sisi wanamme ni kuoa tena wale tunaowapenda tofauti na wanawake wao wanasubiria wito toka kwetu.
Imenifanya nijipange upya na kughairi kuoa.
Mpaka sijawahi hata kwa bahati mbaya kukutana na mwanamke mzuri humu JF
kila ninaekutana nae sio mzuri wa sura wa shepu.
Na kitu kimoja tulichobakiwa na kupewa sisi wanamme ni kuoa tena wale tunaowapenda tofauti na wanawake wao wanasubiria wito toka kwetu.
Imenifanya nijipange upya na kughairi kuoa.