agata edward
JF-Expert Member
- Nov 25, 2014
- 6,641
- 9,391
hahahahaha.
Mwanza wako wengi tajaMtafute nanaa,na kuna mwingine anakaa mwanza yuko bomba tu ila nahisi kuna watu wanamiliki hayo majimbo.
Mkuu uko sahihi kwa kweli ila sio wote wapo ambao kwa kiasi fulani wapo vizuri kichwani na muonekano....yaani standard,ila nafikiri bado hawajapata mwanaume serious wengi wababaishaji tuuTangia nimejiunga na jf nina miaka 5 sasa jf
Mpaka sijawahi hata kwa bahati mbaya kukutana na mwanamke mzuri humu jf
Kila nae kutana nae sio mzuri wa sura wa shep!!
Na kitu kimoja tulichobakiwa na kupewa sisi Wanamme ni kuoa tena wale tunaowapenda tofauti na Wanawake wao wanasubiria wito toka kwetu....
Imenifanya nijipange upyaaaa na kugaili kuoa....
Ww umeshapata mume?!
Eeeeh
Tena na mioyo yetu tumeikata na kupeana nusu yangu kwake
Na nusu yake imeingia kwangu.
Kwahiyo habari ndio hiyooo
Aiseee kumbe kuna watu wanakutamani humu....tena wengine wanadondosha mate kwako....mi kuna mwingine alikuwa ananiambia anashindwa akuanzaje anahisi wewe una mtu nikamwambia akufuate Pm tuu,akili yake yote ipo kwakoEeeeh
Tena na mioyo yetu tumeikata na kupeana nusu yangu kwake
Na nusu yake imeingia kwangu.
Kwahiyo habari ndio hiyooo
Uzuri na ubaya wa mtu/kitu upo machoni na kwenye fikra za mtu mwenyewe...!Upendeleo hudanganya,
Uzuri nao kumbe ni ubatili
AiseeMkuu uko sahihi kwa kweli ila sio wote wapo ambao kwa kiasi fulani wapo vizuri kichwani na muonekano....yaani standard,ila nafikiri bado hawajapata mwanaume serious wengi wababaishaji tuu
look at
Sakayo
hutapenda kuchoka kuwa nae au kumsikiliza,she is also full bright,ana Vision na usijidanganye kumdanganya kijinga jinga,she is excellent brilliant and intellectual woman,umbo lake ni la kawaida tuu but la kike,hapendi kudanganywa,wal ujinga, inawezekana wengine pia wapo hivyo but nimemtolea mfano yeye...
yupo Muheza Tanga.ana Bachelor degree but anajielewa,ana heshima na Kumtambua mwanaume..
Haaa haa haa haaSidhani!Kwa wale wachache ninaowafahamu! hawafai kabisa..ni washenzi!Ila akikupa maneno hapa unaweza ukadhani unaongea na motto descent!
[i][b]Sakayo[/b][/i] hii habari ni ya kweli?Mkuu uko sahihi kwa kweli ila sio wote wapo ambao kwa kiasi fulani wapo vizuri kichwani na muonekano....yaani standard,ila nafikiri bado hawajapata mwanaume serious wengi wababaishaji tuu
look at
Sakayo
hutapenda kuchoka kuwa nae au kumsikiliza,she is also full bright,ana Vision na usijidanganye kumdanganya kijinga jinga,she is excellent brilliant and intellectual woman,umbo lake ni la kawaida tuu but la kike,hapendi kudanganywa,wal ujinga, inawezekana wengine pia wapo hivyo but nimemtolea mfano yeye...
yupo Muheza Tanga.ana Bachelor degree but anajielewa,ana heshima na Kumtambua mwanaume..
KwaniiTangia nimejiunga na jf nina miaka 5 sasa jf
Mpaka sijawahi hata kwa bahati mbaya kukutana na mwanamke mzuri humu jf
Kila nae kutana nae sio mzuri wa sura wa shep!!
Na kitu kimoja tulichobakiwa na kupewa sisi Wanamme ni kuoa tena wale tunaowapenda tofauti na Wanawake wao wanasubiria wito toka kwetu....
Imenifanya nijipange upyaaaa na kugaili kuoa....
hahahaNa wewe yawezekana mungu kakuonea vyote.
1. Huna pesa
2. Mfupi.
3. Kibamia( pinga kwa kuweka picha)
4.sura mmmmh (ingawa hili ni minor kwa mwanaume.
NotedMkuu uko sahihi kwa kweli ila sio wote wapo ambao kwa kiasi fulani wapo vizuri kichwani na muonekano....yaani standard,ila nafikiri bado hawajapata mwanaume serious wengi wababaishaji tuu
look at
Sakayo
hutapenda kuchoka kuwa nae au kumsikiliza,she is also full bright,ana Vision na usijidanganye kumdanganya kijinga jinga,she is excellent brilliant and intellectual woman,umbo lake ni la kawaida tuu but la kike,hapendi kudanganywa,wal ujinga, inawezekana wengine pia wapo hivyo but nimemtolea mfano yeye...
yupo Muheza Tanga.ana Bachelor degree but anajielewa,ana heshima na Kumtambua mwanaume..