5 Nyingi JF-Expert Member Joined Nov 15, 2023 Posts 246 Reaction score 605 Nov 26, 2023 #1 Inawezekana kweli? Yani asubuhi unakuta vyombo vya habari vimepambwa na habari 5 Nyingi "Atuhumiwa Kubaka, Aliyebakwa Asimulia Kilicho tokea" Halafu eti habari hiyo iwe ya uongo yani waitunge ili kukutoa kwenye reli. Mimi siamini kama serikali ina muda huo wewe je?
Inawezekana kweli? Yani asubuhi unakuta vyombo vya habari vimepambwa na habari 5 Nyingi "Atuhumiwa Kubaka, Aliyebakwa Asimulia Kilicho tokea" Halafu eti habari hiyo iwe ya uongo yani waitunge ili kukutoa kwenye reli. Mimi siamini kama serikali ina muda huo wewe je?
BICHWA KOMWE - JF-Expert Member Joined Jul 21, 2022 Posts 7,969 Reaction score 20,013 Nov 26, 2023 #2 Serikali ina muda mwingi wa kufanya lolote
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 165,751 Reaction score 184,582 Nov 26, 2023 #3 Hapana...