Karibu sana. Hapo ni sawa na kuwa unaishi ikulu.Mimi naanza ujenzi Ihumwa next week nina sababu kama kumi Kwa nini Dodoma
Dodoma haina mvuto,ilitakiwa tu kujenga mji mdogo wa shughuli za Bunge.
Hadi leo hawajui wanataka Didoma iwe nini?
Ila wakiweza kuweka miundo mbinu ya kisasa kuunganisha Dodoma na mikoa mingine barabara ,reli,na anga harafu wakaweza kutatua swala la maji,wakapanda miti yenye kivuli kwa wingi yenye uwezo wa kukinga vumbi.Labda baada ya miaka 20 kutokea sasa inaweza ikapata hadhi ya kuitwa mji mkuu.Lakini akija Raisi mwenye msimamo tofauti,Dodoma itabakia center ya shughuli za madini tu kama ilivyokuwa huko nyuma.
Unaifahamu Jerusalem au unaisikia tu. Usifananishe vitu viwili vilivyo tofauti kabisa.Rais akihama nao wataanza kuhamia na hasa uwanja wa ndege mpya ukikamilika na hudymu zote nuhimu zikiwa tayari. Huko Israel mabalozi wahamia Jerusalem sasa kutoka Tel Aviv kuifuata serikali.
Usiunganishe uzi huu na mataahira. Be carefulKigogo 2014 anaemaje kwani
Njia ya ........ ni fupi!!!Mbona Jiwe bado Yuko magogoni!!????
Asante,umemaliza kila kitu,Uamuzi wa kuufanya Dodoma kuwa mji mkuu siamini kama ulikuwa sahihi:
1) Dodoma ni kama jangwa. Kiasili, Dodoma hauna mandhari nzuri kuanzia hali ya hewa mpaka uoto wa asili, n.k.
2) Dodoma ipo ndani kabisa ya rift valley, jambo linaloufanya kuwa mji wa hatari kuishi maana ni eneo ambalo lina uwezekano mkubwa siku moja kukumbwa na tetemeko la ardhi
3) Miji mingi mikubwa Duniani ni ile yenye shughuli nyingi za kiuchumi ambazo huchangiwa na uwingi wa watu, urahisi wa usafirishaji wa mali za viwandani na mali ghafi katika kuingiza na kutoa. Sifa hizo Dodoma haina.
4) Miji mikuu mingi Duniani ilipewa tu hadhi lakini ilikuwa tayari imejengeka. Haikujengwa ili iwe miji mikuu. Dodoma haikujengeka wakati inaamliwa kuwa mji mkuu. Matokeo yake ni serikali kulazimika kuujenga.
5) Mpangilio wa mji wa Dodoma kama mji mkuu ni ovyo sana. Dar es Salaam iliyopangwa na Wajerumani miaka ya 1800 ina mpangilio mzuri kuliko Dodoma iliyopangwa na waswahili wa miaka ya 1970! Wazungu wa miaka ya 1800 walikuwa na akili na uwezo wa kupanga miji kuliko wanaotajwa wataalam waswahili wa miaka ya 2000. Kati ya kada ambazo nadhani ni hovyo kabisa na isiyo na ufanisi ni Town planners. Hawa naamini ni Town Polluters. Dodoma haina barabara hata moja katikati ya mji ambayo ni pana.
Kwa Dar, walikopanga wataalam wa mipango miji wazalendo, wote mnajua.
Mkuu wanapoteza pesa za walipa kodi,Dodoma ni Idodomya.Hata physical geography yake ina utata,sababu za kuhamisha Capital kuja Dodoma kwa sasa hazipo.Mimi nilikuwepo tukahamisha hadi wizara ya Waziri Mkuu Mzee Rashid Mfaume Kawawa tena ilikuwa bidii na pilika kubwa na nia haswa.Hata ipite Miaka 100 bado sikubaliana Mkoa wa Dodoma kuwa Mji Mkuu wa Tanzania, ila Mji Mkuu uwe ni Mkoa wa Dar es Salaam tu.
Mkuu wanapoteza pesa za walipa kodi,Dodoma ni Idodomya.Hata physical geography yake ina utata,sababu za kuhamisha Capital kuja Dodoma kwa sasa hazipo.Mimi nilikuwepo tukahamisha hadi wizara ya Waziri Mkuu Mzee Rashid Mfaume Kawawa tena ilikuwa bidii na pilika kubwa na nia haswa.
Lakini ghafla vuuu Mwalimu Nyerere akabadirisha kibao baada ya kupewa darasa na wabobezi wa mambo.Hivi Mwalimu hakuacha Diary?Zitafute Diary zake tunaweza kupata jibu.
Ule moshi ni hatari ! hivi kwanini usisambazwe nchi nzima ?Kazime moshi wa Ruangwa kwanza ndipo uanze vioja vyako
Huo uthubutu anautoa wapi ? Mnataka awape sababu ya ninyi kuongea ? Yaani aagize Dodoma kuwa mji mkuu zimeshatumika fedha kibao kwa ajili ya kuhamishia nguvu huko Dodoma, leo hii aje kusema walikurupuka hivyo wanarudi Dar. Simuoni huyu jamaa akifanya hivyo maana ataonekana hana msimamo na hatambui anachokifanya. Labda aje kiongozi mwingine na kuyatekeleza hayo.Rais Dkt. Magufuli achana na Dodoma ruhusu Mji Mkuu wa Tanzania uwe ni huu wa Dar es Salaam na ubakie hivyo Milele.
Huo uthubutu anautoa wapi ? Mnataka awape sababu ya ninyi kuongea ? Yaani aagize Dodoma kuwa mji mkuu zimeshatumika fedha kibao kwa ajili ya kuhamishia nguvu huko Dodoma, leo hii aje kusema walikurupuka hivyo wanarudi Dar. Simuoni huyu jamaa akifanya hivyo maana ataonekana hana msimamo na hatambui anachokifanya. Labda aje kiongozi mwingine na kuyatekeleza hayo.
Kwa upande wangu naafiki Mbeya ndio iwe mji mkuu wa Tanzania. Ili mkoa wetu nasi upate maendeleo kwa mwendo wa kasi.Na Wewe unaafiki kabisa tena kwa 100% Mji Mkuu wa Tanzania kuwa ni Dodoma? Nasubiri jibu lako upesi tafadhali Mkuu.
Kwa upande wangu naafiki Mbeya ndio iwe mji mkuu wa Tanzania. Ili mkoa wetu nasi upate maendeleo kwa mwendo wa kasi.
Mjadala wa kina ulipuuziwa imekula kwetu,hizo short cut za kuuza heading bila kuangalia contents ni shida Mkuu.Rais Dkt. Magufuli achana na Dodoma ruhusu Mji Mkuu wa Tanzania uwe ni huu wa Dar es Salaam na ubakie hivyo Milele.
Samahani naomba kukupm, kuna kitu naomba nikuulize, asante
Rais akihama nao wataanza kuhamia na hasa uwanja wa ndege mpya ukikamilika na huduma zote nuhimu zikiwa tayari. Huko Israel mabalozi wanahamia Jerusalem sasa kutoka Tel Aviv kuifuata serikali.Wengi wataweka ofisi ndogo za kibalozi
Lkn una sifa zote na uko katikati ya nchi hauna foleni ya magari, umepimwa vizuri haunuki kama Dar yenu. Wewe Kama hutaki kaa na hiyo harufu mbaya.Unaifahamu Jerusalem au unaisikia tu. Usifananishe vitu viwili vilivyo tofauti kabisa.
Jerusalem ni mji mkubwa kuliko Tel Aviv. Wayahudi wamehamisha makao makuu ya nchi kutoka mji mkubwa wa pili kwenda mji wa kwanza kwa ukubwa. Sisi tulitoa makao makuu kutoka mji mkubwa wa kwanza kupeleka mji wa 9 kwa ukubwa.