Wakuu naomba kujua tofauti kati ya hizi laptop kubwa na ndogo (kwa size) je ufanyaji kazi wake upo sawa au la!
ukubwa au udogo ni fasion tu...what matters is specifications mkuu!! isitoshe kuna issue ya mtu kuwa na mapenzi tu ni vitu...mfano mimi vile vidude vile (mini laptop) sivifagilii wala nini, mi nataka mashine yaani ukikaa nalo ofisini linakufunika kabisa...sio kama ni vile vidogo ni vibaya ila bai tu sivipendi...
Sie tunaziita kubwa jinga teh teh tehIsije ikawa ni computer kubwa but jinga.
Mkuu hebu jaribu kufafanua, kazi zako ni za aina gani.Kama ni typing reports and music in most cases, then unaweza ndogo tu.But kama ni mtu wa softwares na design. Go for the big one. Cha msingi usisahau tu kucheki specs before you buy. Isije ikawa ni computer kubwa but jinga.
umeonaa eeeh!!!? mi nalipendaga likubwa sababu pamoja na kazi zangu mi ni mpenzi mkubwa wa gaming na movies sasa ukiweka fifa humu full mautamu yaani kama unachek live vile..au movie.... sio unaangalia muvi vijitu vidogooo mpaka uchungulie hivi au kama ni game watu wanaonekana kama vikatuni hivi....mimi no...ndo mana nikasema hii ni mapenzi ya mtu na mahitaji yake mwenyewe...ila performance always stand first!! yeah man...dah kama ulivosema ni kweli,kuwa ni mapenzi ya m2. Mi makubwa hayo siyataki,napenda ki2 changu slim nd portable nakabeba hata na mkono mmoja,sio ukitaka kuhama mpaka ulikamate li laptop kubwa utafikiri jeneza. Inategemea 2 na ww mkuu