miss kitongoji
JF-Expert Member
- Feb 21, 2017
- 662
- 618
Mwanafalsafa, kada hiyo unayoishangaa wala usiifikirie ndugu yangu.Kwenye serikali hii watumishi wa umma wanapitia kipindi kigumu sana kuwahi kutokea tangu nchi yetu ipate uhuru. Wanapelekwapelekwa tu, hakuna kupanda cheo, mshahara,posho kutishwa na kukashfiwa kila siku.
Unafundisha kiswahili na civics???Mimi hapa wa kwanza, kura yangu kwa Mh. JPM. Nampenda sana, kazi yangu ni mwalimu. Vipi kuna lingine wakuu?
Endelea kumpenda ni haki yako kikatibaMimi hapa wa kwanza, kura yangu kwa Mh. JPM. Nampenda sana, kazi yangu ni mwalimu. Vipi kuna lingine wakuu?
Myweather ni nani mkuu?Watumishi hamasisheni Ndugu na Jamaa kuanza kampeni ya kuikataa ccm na Myweather kwa namna yoyote ile.
Tume huru idaiwe mapema ccm itoke vinginevyo watanzania mtapata tabu sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Na baada ya hapo alipoteaPhD ni halali? Ben aliichambua vizuri sana!