Aliyekuambia kura yako ndiyo itakayoamua mshindi.Kwenye serikali hii watumishi wa umma wanapitia kipindi kigumu sana kuwahi kutokea tangu nchi yetu ipate uhuru. Wanapelekwapelekwa tu, hakuna kupanda cheo, mshahara,posho kutishwa na kukashfiwa kila siku.