Muda mwingine huwa najikalia zangu huku stendi basi yananijia mawazo alafu nikishindwa kujipa jibu nawaletea huku.
Sasa nimekaa nikwaza je!kuna mto unatoa maji yake baharini na kurlendekea kutiririka kuendelea sehemu nyingene?na kama upo hayo maji sasa yanaendaga wapi.kitu kingine nikajiuliza hivi inakuwaje maji ya mto kama mnavyojua yanatiririka kuelekea baharini yakiwa mtoni ni maji baridi ila yakija fika kwenye bahari yanakuwa ya chumvi je!nini kinasababisha yanakuwa na chumvi.
Kinginine ni hawa viumbe samaki wanaoishi humo baharini je,inakuwaje wakiwa baharini kwenye maji chumvi ukiwaingiza kwenye maji baridi kwa nini hawaishi wakati maji ni hayo hayo sasa na hao wa maji baridi ukiwaingiza kwenye maji chumvi nao hawaishi.hivi hii huwa ina changiwa na nini.
Muda mwingine huwa najikalia zangu huku stendi basi yananijia mawazo alafu nikishindwa kujipa jibu nawaletea huku.
Sasa nimekaa nikwaza je!kuna mto unatoa maji yake baharini na kurlendekea kutiririka kuendelea sehemu nyingene?na kama upo hayo maji sasa yanaendaga wapi.kitu kingine nikajiuliza hivi inakuwaje maji ya mto kama mnavyojua yanatiririka kuelekea baharini yakiwa mtoni ni maji baridi ila yakija fika kwenye bahari yanakuwa ya chumvi je!nini kinasababisha yanakuwa na chumvi.
Kinginine ni hawa viumbe samaki wanaoishi humo baharini je,inakuwaje wakiwa baharini kwenye maji chumvi ukiwaingiza kwenye maji baridi kwa nini hawaishi wakati maji ni hayo hayo sasa na hao wa maji baridi ukiwaingiza kwenye maji chumvi nao hawaishi.hivi hii huwa ina changiwa na nini.
kumbuka pia petrol au mafuta ya taa haya changa nyikani na maji ndivyo hivyo hivyo maji ya mito yalivyo bahariniKuhusu samaki. Mfano mzuri: Gari inayotumia petrol ukiweka diesel engine inakufa, lakini yote ni magari. Creation: kila kiumbe kiliumbwa in consideration ya sustainability ya mazingira yake
Yaan unatudhihirishia ya kuwa somo la GEOGRAPHY lilikuwa gumu kwako ...topic ya RIVER 😆😆😆Muda mwingine huwa najikalia zangu huku stendi basi yananijia mawazo alafu nikishindwa kujipa jibu nawaletea huku.
Sasa nimekaa nikwaza je!kuna mto unatoa maji yake baharini na kurlendekea kutiririka kuendelea sehemu nyingene?na kama upo hayo maji sasa yanaendaga wapi.kitu kingine nikajiuliza hivi inakuwaje maji ya mto kama mnavyojua yanatiririka kuelekea baharini yakiwa mtoni ni maji baridi ila yakija fika kwenye bahari yanakuwa ya chumvi je!nini kinasababisha yanakuwa na chumvi.
Kinginine ni hawa viumbe samaki wanaoishi humo baharini je,inakuwaje wakiwa baharini kwenye maji chumvi ukiwaingiza kwenye maji baridi kwa nini hawaishi wakati maji ni hayo hayo sasa na hao wa maji baridi ukiwaingiza kwenye maji chumvi nao hawaishi.hivi hii huwa ina changiwa na nini.
Naam Kujiuliza na ku-question ndio kunatofautisha The Extraordinary from the Ordinally..., The Exceptional from the Mediocre..., Kudo Mkuu...Muda mwingine huwa najikalia zangu huku stendi basi yananijia mawazo alafu nikishindwa kujipa jibu nawaletea huku.
====Sikufikia huko
Sijui ndio maana nikauliza
Ahaa.. na je nini kinafanya maji kuwa na humvi wakati yakiwa mtoni kuelekea baharibi hayana kabisaSamaki hufa kwa sababu ya OSMOSIS yaani cells za samaki wa baharini zinakiasi kikubwa cha chumvi hivyo tukimpeleka ziwani cells zitaanza kufyonza maji kwa sababu maji ya ziwa hayana chumvi...cells zitaendelea kufyonza hadi zitaanza ku-burst, cell zikifa basi samaki nae atakufa.
Sasa kwa nini wakati maji yanatoka mtoni kwenda baharini na nini kinafanya yakifika baharini yawe na chumvi wakati yakiwa mtoni hayana chumvikumbuka pia petrol au mafuta ya taa haya changa nyikani na maji ndivyo hivyo hivyo maji ya mito yalivyo baharini