Hivi kumbe mwanamke nae ananuka mdomo?

Hivi kumbe mwanamke nae ananuka mdomo?

Mkuu asilimia kubwa sio ugonjwa bali ni wachafu tu.lala na demu kwako harafu utaona kama atakumbusha mswaki.sasa mtu anapiga mswaki leo asubuhi hadi kesho tena asbuhi unategemea ni ugonjwa huo? Ni wachafu tu
Mkuu Juvenile katika ubora wako...
 
Inawezekana alikuwa na njaa ya muda mrefu au ana maradhi ya kinywa
 
Uliyemzoea kama inakuaffect mnunulie chip mpya ya simu, unamtwangia ujumbe mzima ukimaliza unaitupa.
Hahaahaa,,Kesho tu,, na hivi mda mwingine mi ndo wakala mkuu,,ngoja nionee,,nitaandika msg,, maana sauti anaifahamu
 
Mkuu wanawake kwa suala la mdomo kunuka hawajambo.unakuta mwanamke anapiga mswaki asubuhi hadi kesho asubuhi unategemea nini hapo? Hawapigi mswaki mimi nishachunguza sana,unakuta mwanamke mnalala hadi asubuhi lakini usiku hakupiga mswaki na pia asubuhi anavoondoka pia hapigi mswaki,na kumwambia mtu kwamba ananuka mdomo ni kazi sana hata umzoee vipi
Kuwa na miswaki ya akiba umpe na unamwambia baby utanifanya nichukie wanawake, hembu rekebisha au ninapenda mdomo fresh kabla ya kiss.
 
  • Thanks
Reactions: THT
Leo nilikua napiga stori na mwanamke mmoja hivi kwenye basi khaa ananukaje mdomo? Kama sijaamini maana nimewazoea wanawake ni watu wasafi sasa.
Na haya mambo ya kutema jasho ni kwa wanaume tuu, alaa haya bana.
Kwanza tutake radhi wanaume, pili ondoa hiyo dhana kuwa wanawake ndio wasafi kuliko wanaume, mwisho unatakiwa kujua unapozungumzia kunuka kwa kinywa inaweza kuwa ni ugonjwa au uchafu.
 
Mkuu asilimia kubwa sio ugonjwa bali ni wachafu tu.lala na demu kwako harafu utaona kama atakumbusha mswaki.sasa mtu anapiga mswaki leo asubuhi hadi kesho tena asbuhi unategemea ni ugonjwa huo? Ni wachafu tu
mkuu mbona mimi napiga mswaki kila asubuhi yaani mara moja kwa siku na sinuki mdomo??? inategemeana mkuu
 
Leo nilikua napiga stori na mwanamke mmoja hivi kwenye basi khaa ananukaje mdomo? Kama sijaamini maana nimewazoea wanawake ni watu wasafi sasa.
Na haya mambo ya kutema jasho ni kwa wanaume tuu, alaa haya bana.
Kunuka ni magonjwa kama papuche mtu akiskia inanuka asilimia 95 ni maradhi
 
Jinsi ya kujua kama una tatizo la kunuka mdomo fanya haya;

-Chukua kiganja chako cha mkono halafu ramba kiganja hicho kwa kutumia ulimi wako mara moja kuanzia mwanzo mpaka mwisho wa ulimi

-Subiri kwa dakika tano mpaka mate yakauke kwenye kiganja chako

-Nusa kiganja chako, kama kitatoa harufu mbaya basi ujue una matatizo ya kunuka mdomo ya kudumu

Mtafute daktari kwa matibabu zaidi
Hahah
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom