God'sBeliever
JF-Expert Member
- Sep 1, 2015
- 5,788
- 3,068
....
hapana nilikua simtaki kingono, just tumekutana tuu kwenye daladala katka stori za hapa na palepengine ni ugonjwa tuu Mkuu huwez jua
nimekupata mkuuhapana nilikua simtaki kingono, just tumekutana tuu kwenye daladala katka stori za hapa na pale
Leo nilikua napiga stori na mwanamke mmoja hivi kwenye basi khaa ananukaje mdomo? Kama sijaamini maana nimewazoea wanawake ni watu wasafi sasa.
Na haya mambo ya kutema jasho ni kwa wanaume tuu, alaa haya bana.
teh teh ila we jamaa wewe, ebu kataje..
duuh,hizi ni shin guard ama ndani kuna chupa za Amarula?
wenginne hawana matatizo bali uchafu tuu hata hawaogiJinsi ya kujua kama una tatizo la kunuka mdomo fanya haya;
-Chukua kiganja chako cha mkono halafu ramba kiganja hicho kwa kutumia ulimi wako mara moja kuanzia mwanzo mpaka mwisho wa ulimi
-Subiri kwa dakika tano mpaka mate yakauke kwenye kiganja chako
-Nusa kiganja chako, kama kitatoa harufu mbaya basi ujue una matatizo ya kunuka mdomo ya kudumu
Mtafute daktari kwa matibabu zaidi
wengine hata si ugonjwa ni uchafu tuu na kama huamin jaribu kuinama act like umedondosha kitu usiposkia ananuka makuMbona mimi ninabinti ofisn ananuka mdomo na tunakaa nae,,ila naogopa kumwambia maana ni mtata? Pia Hanihusu,,Ila tu Tunakaa karibu ofsini, ,Tatizo ni mfupi na huwa hajiamini,,ila mi ninaduka la dawa hizo ila unashindwa nianzaje kumwambia,,na atajua tu labda navutia Biashara kila Wapo kabisa tena wananuka saana,,mi nahsi ni ugonjwa,
ati wasema?wengine hata si ugonjwa ni uchafu tuu na kama huamin jaribu kuinama act like umedondosha kitu usiposkia ananuka maku