Leo nilikua napiga stori na mwanamke mmoja hivi kwenye basi khaa ananukaje mdomo? Kama sijaamini maana nimewazoea wanawake ni watu wasafi sasa.
Na haya mambo ya kutema jasho ni kwa wanaume tuu, alaa haya bana.
ETI ?
Leo nilikua napiga stori na mwanamke mmoja hivi kwenye basi khaa ananukaje mdomo? Kama sijaamini maana nimewazoea wanawake ni watu wasafi sasa.
Na haya mambo ya kutema jasho ni kwa wanaume tuu, alaa haya bana.
kama nilivyoandika hapo mkuu.ati wasema?
basi pouwakama nilivyoandika hapo mkuu.
mkuu hana kamvuto au figure flani ivi nzuri ya kututoa udenda? kanaonekana hakana kampani ndo maana hata hakajiswafi.Duuuu katauwasha,,,maana ni kafupi na naonaga hakana hata boyfrnd ,,In short anajisikia inferior sana hasa kama mimi nikiwa naongea nae , yaani kila kitu nikiongea anasema ,,Niache dharau, ila Nitajaribu kuinama ni sense
kuna cha ajabu hapo kwani?basi pouwa
hiyo kumnusa mwenzio chini si vizurikuna cha ajabu hapo kwani?
Ni ngumu sana kumwambia mtu kuwa ananuka mdomo, hata kama umemzoea achilia mbali stranger.Hakuna binadamu anaezaliwa akiwa anafahamu kila kitu, kujifunza itatokana na malezi ya wazazi/walezi, shuleni pia kila siku unayoishi duniani unajifunza kitu mpaka pale unapoingia kaburini. Huyo uliyekutana nae labda alifiwa na wazazi akiwa mdogo hakupata mtu wa kumpa elimu ya awali kuhusu usafi wa mwili, shule uliyosoma kama ni zile St Kayumba zetu, mwalimu anawaza lini atalipwa mafao yake, huo muda wa kukufundisha wewe usafi wa kinywa autoe wapi. Usimlaumu, na siku nyingine ukikutana na mwingine wa aina hiyo, mfunze kama ni mwerevu.
yap lakn mbona hata nyie mnatusema tunanuka p*mbu laknin hatulalamiki?hiyo kumnusa mwenzio chini si vizuri
nyie kweli mnanukaga hamuoshagi vizuriyap lakn mbona hata nyie mnatusema tunanuka p*mbu laknin hatulalamiki?
kumbe unajua nini kinakushangazawenginne hawana matatizo bali uchafu tuu hata hawaogi
nilikua sijui, nimefahamu baada ya kujibiwa humu!kumbe unajua nini kinakushangaza
Shauri yake ashindwe kula siku nzima [emoji2] [emoji2] [emoji2]hiyo kumnusa mwenzio chini si vizuri
Go extra mail, nunu chip mpya ya simu, mtumie ujumbea mweleze yote, ukimaliza itupe.Mbona mimi ninabinti ofisn ananuka mdomo na tunakaa nae,,ila naogopa kumwambia maana ni mtata? Pia Hanihusu,,Ila tu Tunakaa karibu ofsini, ,Tatizo ni mfupi na huwa hajiamini,,ila mi ninaduka la dawa hizo ila unashindwa nianzaje kumwambia,,na atajua tu labda navutia Biashara kila Wapo kabisa tena wananuka saana,,mi nahsi ni ugonjwa,
Uliyemzoea kama inakuaffect mnunulie chip mpya ya simu, unamtwangia ujumbe mzima ukimaliza unaitupa.Ni ngumu sana kumwambia mtu kuwa ananuka mdomo, hata kama umemzoea achilia mbali stranger.
kumbe ndio tabia yakoUliyemzoea kama inakuaffect mnunulie chip mpya ya simu, unamtwangia ujumbe mzima ukimaliza unaitupa.
Mkuu asilimia kubwa sio ugonjwa bali ni wachafu tu.lala na demu kwako harafu utaona kama atakumbusha mswaki.sasa mtu anapiga mswaki leo asubuhi hadi kesho tena asbuhi unategemea ni ugonjwa huo? Ni wachafu tupengine ni ugonjwa tuu Mkuu huwez jua
kwani wewe huwa unaswaki mkuu kwa ratiba yako hiyo?Mkuu wanawake kwa suala la mdomo kunuka hawajambo.unakuta mwanamke anapiga mswaki asubuhi hadi kesho asubuhi unategemea nini hapo? Hawapigi mswaki mimi nishachunguza sana,unakuta mwanamke mnalala hadi asubuhi lakini usiku hakupiga mswaki na pia asubuhi anavoondoka pia hapigi mswaki,na kumwambia mtu kwamba ananuka mdomo ni kazi sana hata umzoee vipi
Napiga mara mbili mkuu,asubuhi kabla sijatoka na usiku kabla ya kulalakwani wewe huwa unaswaki mkuu kwa ratiba yako hiyo?