Hivi Korea Kusini waliwapa nini mabeberu tulikua the same 60's

Nani Kasema huu ni Uzushi Usawa huo wa Nini na Nini wakati waafrika wanaishi kwenye Mapango na Nyumba Za Tembe Wenzako Walikuwa wana makazi Mazuri. Hizi story Mnazitoa wap
Karne ya 15 Wareno wameshakuja Hadi Mombasa na kujenga Fort Jesus, Karne ya 15 Wazungu walikuwa wakiwapakia
maelfu ya Waafrikaa kwenye meli na kuwapeleka kwenye mashamba Huko Brazil, Carribean na USA
Sasa tulikuwa sawa kivipi?
 
Kwamba tukiwa na sheria basi Magufuli atakuwa na akili timamu na ataanza kuzifuata na kuzitii?Unaelewa kuwa kwa sasa hivi Magufuli anavunja sheria zote za tume ya uchaguzi na huenda hata hajui kama kuna sheria anavunja?
Kwasababu sheria inamapungufu mengi mkuu ndo mana anafanya hivyo.
Sheria ikisema "Usiue hata kama mtoto umemzaa mwenyewe" hautakuja Ku claim kwamba nimeua sababu mtoto ni wangu ni Mali yangu.
Katiba imara is all that we need Mkuu...Siyo Magufuli tu hata yeyote hatafanya kinyume.
 
Kwasababu sheria inamapungufu mengi mkuu ndo mana anafanya hivyo.
Sheria ikisema "Usiue hata kama mtoto umemzaa mwenyewe" hautakuja Ku claim kwamba nimeua sababu mtoto ni wangu ni Mali yangu.
Katiba imara is all that we need Mkuu...Siyo Magufuli tu hata yeyote hatafanya kinyume.
Katiba imara ambayo hata mtu mwenye utindio wa ubongo kama Magufuli anaweza kuitii ina sifa gani mkuu?Yaani hiyo katiba ambayo inaweza kumbana hata mtu kama Magufuli inakuwa ina sifa zipi?
 
hivi miaka Kitano wanaichukulia mke o
Edit maandishi yako kwanza...if ain't care of your writings you can't take care kwenye maslah ya Uma Zaidi ya tumbo lako tu...think twice if thrice inakua ngumu.
 
Hivi binadamu hatuwezi kuwa na makazi na mfumo wa maisha unaomwezesha kila mtu kupata maji safi na salama na chakula bila kuibadili mwonekano wa asili wa dunia? Huo mji utafikiri ni picha ya injini iliyofunguliwa.
hapo palikuwa jangwa kabla ya kujengewa hivyo.
Hata hivyo population control Ni muhimu sana ili kuhakikisha binadamu hauijazi dunia yote na kuharibu makazi ya asili ya viumbe Wengine
Wazungu waliliona hili mapema na hata Sasa population yao ina drop huku maeneo ya misitu yakiongeza

Africa ndio bara ambalo watu wake wanaongezeka kwa Kasi Sana, misitu inafyekwa kwa Kasi na vyanzo vingi vya maji vikikauka, Huko mbele ya safari sijui mazingira yetu yatakuaje
 
Hivi korea kusini waliwapa nini mabeberu?Miaka ya 60 tulikua sawa kiuchumi tena wakiwa maskini kuliko hata sisi

Leo wapo mbali na mabeberu wamewabeba sana

Mimi najiuliza waliwapa nini mabeberu hadi wakafika walipo?

Na sisi je?
Wakorea waliwapa mabeberu nchi yao. Angalia Samsung inazalishwa Korea kusini lakini wanufaika ni mabeberu.
 
hapo palikuwa jangwa kabla ya kujengewa hivyo.
Hata hivyo population control Ni muhimu sana ili kuhakikisha binadamu hauijazi dunia yote na kuharibu makazi ya asili ya viumbe Wengine
Wazungu waliliona hili mapema na hata Sasa population yao ina drop huku maeneo ya misitu yakiongeza

Africa ndio bara ambalo watu wake wanaongezeka kwa Kasi Sana, misitu inafyekwa kwa Kasi na vyanzo vingi vya maji vikikauka, Huko mbele ya safari sijui mazingira yetu yatakuaje

Sipati picha kabisa, na mlivyoambiwa na huyo Jiwe wenu eti mfyatuane hapo bongoland..hahahhha
 
Ukiwa na viongozi sampuli pichani utakua masikini hata atawale miaka 2000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000 kwakuwa hawana vision wala mission
JamiiForums-551894044.jpg
 
Ukweli mchungu sana, we are not as intelligent as them.
Mazingira yamechangia sana. Tafiti zinaonyesha kuwa jamii za ulaya sbb ya harshness ya mazingira ya baridi kali, uzalishaji duni wa chakula ukawafanya wawe so innovative mf kwenye majengo, umeme na bidhaa joto (for warming themselves na pia kilimo. Kutokana na kuzalisha sana kwenye kilimo ikawawezesha kuwa watu wengi centred eneo moja ndio miji ikakua, matabaka yakazaliwa na pia teknojia na kupelekea kuwa na jeshi imara. Hii ikawa rahisi wao kudominate races nyingine mf afrika, ambao kutokana na tropical climate kuoffer kwa urahisi chakula(gatherers and hunters), wakawa wanahama hama na less innovative. Hivyo mazingira yamemfanya mzungu awe na hulka ya kutawala mazingira huku muafrika, muaborigne, red indians n.k kuwa anayeishi sambamba na mazingira (co-exist). Hapo you can tell nani mwenye nafasi ya kumtawala mwenzake.
hiyo ni history, kwa sasa ni uhayawani wetu.
 
Back
Top Bottom