Hivi hao watoto wetu tuliowazaa miaka 2000 walilishwa nini? Wanakua kwa kasi kimwili ila akili za mazingira ni ndogo

Covax

JF-Expert Member
Feb 15, 2021
6,286
21,465
Watoto wa kwanza wakaka angu na dada angu wote wa kiume niko nao tangu mwezi wa saba wameletwa kwa mjomba wao ili wanifahamu (its long-time) mimi ndo mjomba wao peke.

moja alizaliwa 2005, mgine 2006 physically wako sawa walisoma private, na kwa kweli wame faulu vizuri mkubwa alipata 1 ya 7 PCB mgine 1 ya 9 wame apply MD vyuo tofauti.

Vituko vyao jana sebuleni buibui(spider) ilingia ndani ni kamwambia mjomba toa huyu mdudu akakimbilia chumbani kuleta jambia ni kamuuliza ya nini kanijibu "uncle its very toxin" ni licheka mpaka basi sasa baya zaidi hao watoto wana enjoy cartoon channel kuliko hata music, channels zao dstv 302, 306, boomerang, cartoon network j,junior nk kuanzia asubuhi mpaka jioni, mpaka wanajua ratiba na vipindi na story za catoons zote TV ya sembuleni tume wamilikisha sie ya chumbani

Ila wako vizuri darasani sio uongo physics moja ana "B" mgine "C" na ni lazima waende varsity wazazi wao sisi uwezo wanao.

Je hao ndo watakua madakitari kusaidia wagonjwa wetu miaka mitatu injao kweli? tatizo ni elimu yetu? Wazazi ? Au watoto wenyewe? wana vituko vya ajabu kweli hao wataweza maisha ya udakitari?

Shangazi wao(wife) yeye anacheka tu hawezi kuwatuma chochote hawawezi kitu zaidi ya kutandika bedings zao tu.........jamani pateni mda kukaa na watoto wenu pesa sio kila kitu, kwa vituko hivi watoto wangu sowapeleke bweni wakiwa primary
 
Kama unawaza wasome udaktari ni 5 years sio 3yrs... ndio mazao ya sasa wanaitwa dot com. Ushukuru hawajahamia mparange st. wala cha Arusha.. Maana kwa kizazi hiki watoto wa kiume ni pasua kichwa kuliko hata wa kike. Kaa nao wape utaratibu wa mila na desturi zenu kama unazifahamu maana na wewe unaweza kuwa umekulia masaki au temeke...hujui A wala B.
 
Kuna umri wa hizo cartoon tena kwa mtoto wa kiume kabisa uliebalehe unapata wapi time ya kuangalia hizo ndudu.

Mtoto anaomba akacheze na wenzie unamkatalia kwa kuhofia atapotea, dogo anaomba akaendeshe baskeli nje unampiga pin eti atapotea, dogo anaomba wenzie waje wacheze nao hapo home, unampiga pin eti watamfundisha tabia mbaya. Ndo ivo anakua hajui nje huko watoto wenzie nje ya kusoma huwa wanafanya nini extra ili wafurahi.
 
Kama unawaza wasome udaktari ni 5 years sio 3yrs... ndio mazao ya sasa wanaitwa dot com. Ushukuru hawajahamia mparange st. wala cha Arusha.. Maana kwa kizazi hiki watoto wa kiume ni pasua kichwa kuliko hata wa kike. Kaa nao wape utaratibu wa mila na desturi zenu kama unazifahamu maana na wewe unaweza kuwa umekulia masaki au temeke...hujui A wala B.
Sawa mkuu najua udakitari ni 5yrs ila kwa miaka 3 wanaanza kuenda mahosipitalini kujifunza na kutoa ushauri kwa wagonjwa.......am just imagining dakitari anae waza cartoon atatoa ushauri gani?
 
Kama unawaza wasome udaktari ni 5 years sio 3yrs... ndio mazao ya sasa wanaitwa dot com. Ushukuru hawajahamia mparange st. wala cha Arusha.. Maana kwa kizazi hiki watoto wa kiume ni pasua kichwa kuliko hata wa kike. Kaa nao wape utaratibu wa mila na desturi zenu kama unazifahamu maana na wewe unaweza kuwa umekulia masaki au temeke...hujui A wala B.
Mtoto wa kiume akitumia cha Arusha wala sitaumia sana ila nasaha kama baba
 
Kuna umri wa hizo cartoon tena kwa mtoto wa kiume kabisa uliebalehe unapata wapi time ya kuangalia hizo ndudu.

Mtoto anaomba akacheze na wenzie unamkatalia kwa kuhofia atapotea, dogo anaomba akaendeshe baskeli nje unampiga pin eti atapotea, dogo anaomba wenzie waje wacheze nao hapo home, unampiga pin eti watamfundisha tabia mbaya. Ndo ivo anakua hajui nje huko watoto wenzie nje ya kusoma huwa wanafanya nini extra ili wafurahi.
Hizo ni chagamoto kweli hizo holiday classes na tuition ndo zina haribu kabisa watoto wanakosa mda wa kuchagamana na wenzao, mzazi anawaza kufaulu kwa mtoto tu bila kujua madhara mengine.
 
6096dcb6-e52a-4e7a-8b41-8e94a0dbb567.jpg
 
Back
Top Bottom