Beberu hajambeba mtu.Hivi korea kusini waliwapa nini mabeberu?Miaka ya 60 tulikua sawa kiuchumi tena wakiwa maskini kuliko hata sisi
Leo wapo mbali na mabeberu wamewabeba sana
Mimi najiuliza waliwapa nini mabeberu hadi wakafika walipo?
Na sisi je?
History ina uongo mwingi sanaKarne ya 15 Africans and Europeans were in the same level... Of development.
Aliyetoa hiyo ahadi hana AKILI.Kuna mtu amewaahidi wananchi wake akipewa kura nchi yake itakua kama Ulaya ndani ya miaka mitano.
Mwingine akidai itakua kama Dubai Abu Dhabi View attachment 1573820
Sasa mabeberu sio wanyonyajiBeberu hajambeba mtu.
S. Korea waliamua kuwaona wazungu kama wadau wa maendeleo.
Wakashirikiana kwenye nyanja zote. Leo hii wapo mbali sana.
Sio S. Korea tu, Singapore, New Zealand, Vietnam, Hong Kong, S. Africa kabla ya Xenophobia na Zimbabwe kabla ya uhuru.
Nchi za kikomunist zinaendeshwa kipropaganda. Kuwaaminisha mabeberu kama wanyonyaji wakati watawala ndo wanafaidi keki ya taifa. Na nchi hizo ni masikini wa kutupwa.
Mf. Tanzania, China, Russia, Zimbabwe ya baada ya uhuru, Venezuela, Burundi, n.k.
Hivi korea kusini waliwapa nini mabeberu?Miaka ya 60 tulikua sawa kiuchumi tena wakiwa maskini kuliko hata sisi
Leo wapo mbali na mabeberu wamewabeba sana
Mimi najiuliza waliwapa nini mabeberu hadi wakafika walipo?
Na sisi je?
Watanzania hizi Propaganda zipo tangu enzi za Mwalimu kuwafariji watu kwamba eti nchi kama Korea kusini kuna watu wanashida kuliko huku Tz...changanya na zako...hizo ni siasa za kijamaa za kuwaficha watu kinachoendelea nje ili wazidi kuwa wapumbavu....ndo mana kwao media huru huwa ni adui yao mkubwa...ili kueneza propaganda zao kirahisi...Korea kaskazini wanafanya hivyo na sisi tumerudi tena huko awamu hii..ni kuimba nyimbo za kusifu tu kwenye media...huku kila raia akiaminishwa kisichokuwepo kuwa kipo.korea hawakutoa chochote kwa mabeberu ila wajijiwekea sera ya viwanda pamoja na kuhimiza wananchi wapige kazi ndio matokeo yake hayo,ila nasikia huko korea kusini na North kuna watu wana shida sana bora huku kwetu maana hata wali ni tabu
Watanzania hizi Propaganda zipo tangu enzi za Mwalimu kuwafariji watu kwamba eti nchi kama Korea kusini kuna watu wanashida kuliko huku Tz...changanya na zako...hizo ni siasa za kijamaa za kuwaficha watu kinachoendelea nje ili wazidi kuwa wapumbavu....ndo mana kwao media huru huwa ni adui yao mkubwa...ili kueneza propaganda zao kirahisi...Korea kaskazini wanafanya hivyo na sisi tumerudi tena huko awamu hii..ni kuimba nyimbo za kusifu tu kwenye media...huku kila raia akiaminishwa kisichokuwepo kuwa kipo.
Uongo Ukirudiwa sana hugeuka ukweli_Bashiru Ally(Katibu mkuu CCM)
Pamoja Mkuusawa mkuu
korea hawakutoa chochote kwa mabeberu ila wajijiwekea sera ya viwanda pamoja na kuhimiza wananchi wapige kazi ndio matokeo yake hayo,ila nasikia huko korea kusini na North kuna watu wana shida sana bora huku kwetu maana hata wali ni tabu
Hivi korea kusini waliwapa nini mabeberu?Miaka ya 60 tulikua sawa kiuchumi tena wakiwa maskini kuliko hata sisi
Leo wapo mbali na mabeberu wamewabeba sana
Mimi najiuliza waliwapa nini mabeberu hadi wakafika walipo?
Na sisi je?
Ni kwamba hawakuwahi kubahatika kupata mtu wa kuwaambia wazungu wanaitwa mabeberuHivi korea kusini waliwapa nini mabeberu?Miaka ya 60 tulikua sawa kiuchumi tena wakiwa maskini kuliko hata sisi
Leo wapo mbali na mabeberu wamewabeba sana
Mimi najiuliza waliwapa nini mabeberu hadi wakafika walipo?
Na sisi je?