kiboboso
JF-Expert Member
- Sep 17, 2013
- 9,182
- 12,286
wewe tushakustukia. Hatutaki mazoea na wewe.It depends unanichukuliaje. inaweza ikawa ukweli au uwongo
wewe tushakustukia. Hatutaki mazoea na wewe.It depends unanichukuliaje. inaweza ikawa ukweli au uwongo
Kwa mafunzo ya kiraia pekee, huwezi ukamdhibiti maana ukomandoo Kuna aina nyingi Sana za martial arts zinazofundishwa, kuanzia Kombat karate, judo Kombat, taekwondo, Muay Thai, kick boixing, n.k ambazo Ni za kuua adui na siyo kufurahisha watazamaji.
Huyo haniambii kitu mimi.Kwa mafunzo ya kiraia pekee, huwezi ukamdhibiti maana ukomandoo Kuna aina nyingi Sana za martial arts zinazofundishwa, kuanzia Kombat karate, judo Kombat, taekwondo, Muay Thai, kick boixing, n.k ambazo Ni za kuua adui na siyo kufurahisha watazamaji.
Sasa ujidanganye na black belt ya karate za akina lady Jay Dee!
Unakula pigo moja tu fahamu zinakata!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani nataka mazoea na mtu? Halaf ww na nani? Jisemee ww mwenyewe.wewe tushakustukia. Hatutaki mazoea na wewe.
Kwa hiyo kwa Tanzania wapo wenye uwezo huo uliousema?Hicho ndicho kinachomfanya aitwe Komandoo, na si mabawa kwenye shati lake. Wanajeshi wanaposema SPECIAL FORCES, hawasemi hivyo kisiasa, they mean it. Komandoo mmoja yuko meant kwa ajili ya kupigana na platoon nzima na KUISHINDA
Kama makomandoo hatuna, basi hawapo!Kwa hiyo kwa Tanzania wapo wenye uwezo huo uliousema?
Kumbe wanapocheza kwenye movie huwa mnaona maigizo ya kutunga? Sylivester Satallone (Rambo) ameigiza ndiyo lakini alichoigiza ni halisi. Katika uhalisia, komandoo huwa anapigana na kundi la watu kama haoMakanyaga, ..yaani komando mmoja awe na uwezo wa kupambana na askari 27-50?, hapo anakuwa anatumia bunduki au mikono (ngumi) ?
Je kama na hao askari wana bunduki?
121 hapawezi huyo, kule maumivu lazima uyasaliti.Saguda47 mfahamishe kijana njia huyo anataka kuja Sanga be Anataka kuja kufanyiwa tohara
Mshikaji anaonekana yuko humble,sijui huyo marehemu alimchefua kupitiliza.Jamaa huyu hapa anaitwa Octavian Gowele Ni Commando wa JWTz
Aliua bahati mbaya
Jamaa hawa ( makomandoo) siyo wa kuzoea Wala kujibizana nao, kukumaliza Ni dakika sifuri tuView attachment 1467672View attachment 1467673
Sent using Jamii Forums mobile app
Duuuuh kweli aisee92 Kj, pale hata masoja wa kawaida wanapaogopa, maumivu ndiyo tiba yangu "Pain is My Medicine" they say that.View attachment 1467756
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe lady jaydee commando haumjui ?
Kwa Tanzania, ukiweza kupasulia tofali kichwani wewe ni komando
Duh... ina maana power Benado na power Mabula ni makomando?
Kwani huwa huangalii viwanjani kwenye sherehe za serikali kitaifa? Au unawadharau vile wanavunja tofali? Ingia kwenye anga zao ndio utamjue yeye komando au kamandaKomando, comando, comandoooo..
Najiulizaga tu...
- Ni mtu wa aina gani?
- Kazi yao nnn?
- Uwezo wake upoje?
- Umeshawah kumuona live?
- Je, wanatofautiana baina ya mmoja na mwingine?
Nasikiaga eti tule jamaa MWEUSI TII anayevaa suti , anayesimama pembeni ya "MKULU" ETI ni komando. Sijui kweli?
Hao ambao walimkimbia Aquilina akafa peke yake hadi walipoona picha kwenye magazeti ndio wakaanza kulalamika?msiwasahau makamanda wa mtaa wa ufipa.
Ntakuja siku moja nimtafute mmojawapo nichape nae mkono (hand to hand)Kwani huwa huangalii viwanjani kwenye sherehe za serikali kitaifa? Au unawadharau vile wanavunja tofali? Ingia kwenye anga zao ndio utamjue yeye komando au kamanda
Ndio hao mkuu.na wenyewe wanajiita makamandaHao ambao walimkimbia Aquilina akafa peke yake hadi walipoona picha kwenye magazeti ndio wakaanza kulalamika?