Hivi kituo cha sheria na haki za binadamu(LHRC), kinawatetea tu wanawake

ngara23

JF-Expert Member
Aug 31, 2019
2,941
6,581
Nashangazwa na utendaji kazi wa taasisi hii (LHRC) Huwa wanaibuka pale anapoguswa mwanamke lakini kati hutawaona mwanamke akidhalilisha mwanaume.

Sasa wanamwandama makonda , Jana walimwandama Ngosha wa Goba, juzi wakamwanda Oscar Oscar.

Lakini hawakujikutokeza kumuonya Christina Shusho alivyomdhalilisha mmewe,
Hatukuwaona wakiwaonya Pauline Gekul alivyomdhalilisha kijana Kwa kumwekea chupa kijana sehemu ya haja kubwa.
Hawawakemei wanawake wanatoa faragha za waume zao hadharani na Huwa wanapongeza.
Au mwanaume hana mtetezi ikitokea mwanaume amedhalilishwa akachukua sheria mkonono mtaanza maneno.
Binafsi sioni kosa la makonda, yule mama alikosea mno watu wanahojo vitu vya msingi yeye analegeza sauti akihojiwa eti kadhalilishwa, kadhalilishwa vip kwani kavuliwa nguo, kachwapwa viboko, alibakwa au udhalilishaji Gani ulifanywa,
Yani kumsihi mtu aongeze sauti ndo kumdhalilisha
 
Nashangazwa na utendaji kazi wa taasisi hii (LHRC) Huwa wanaibuka pale anapoguswa mwanamke lakini kati hutawaona mwanamke akidhalilisha mwanaume.

Sasa wanamwandama makonda , Jana walimwandama Ngosha wa Goba, juzi wakamwanda Oscar Oscar.

Lakini hawakujikutokeza kumuonya Christina Shusho alivyomdhalilisha mmewe,
Hatukuwaona wakiwaonya Pauline Gekul alivyomdhalilisha kijana Kwa kumwekea chupa kijana sehemu ya haja kubwa.
Hawawakemei wanawake wanatoa faragha za waume zao hadharani na Huwa wanapongeza.
Au mwanaume hana mtetezi ikitokea mwanaume amedhalilishwa akachukua sheria mkonono mtaanza maneno.
Binafsi sioni kosa la makonda, yule mama alikosea mno watu wanahojo vitu vya msingi yeye analegeza sauti akihojiwa eti kadhalilishwa, kadhalilishwa vip kwani kavuliwa nguo, kachwapwa viboko, alibakwa au udhalilishaji Gani ulifanywa,
Yani kumsihi mtu aongeze sauti ndo kumdhalilisha
Ulishabakwa ama kulawitiwa au kuachika na mumeo na ukapeleka malalamiko kikaacha kukusikiliza?
 
What is LHRC?

Legal and Human Rights Centre (LHRC) is Tanzania's human rights advocacy organization




Who are the donors of LHRC?

Embassy of Finland in Tanzania,
OXFAM,
DFID,
Rosa Luxemburg,
Canada(CIDA),
UNTrust Fund,
AMREF,
UN women,
Legal Services Facilities(LSF), and
Open Society Initiative for East Africa(OSIEA)
 
Japokuwa naichukia CCM lkn makonda namkubali Sana harakati zake....hawa LHCR waanze Kwanza kuwatetea wanawake wanaodhalilika kwenye mwendokasi, vijana DUNGADUNGA WA KIMARA KILASIKU WAPO NYUMA YA WADADA TOKA KIMARA - KARIAKOO
 
Hata kwa sisi wanaume mbona wanatutetea sana mkuu..
Cheki hii
IMG-20240516-WA0139.jpg
 
Japokuwa naichukia CCM lkn makonda namkubali Sana harakati zake....hawa LHCR waanze Kwanza kuwatetea wanawake wanaodhalilika kwenye mwendokasi, vijana DUNGADUNGA WA KIMARA KILASIKU WAPO NYUMA YA WADADA TOKA KIMARA - KARIAKOO
Unavuka mipaka sasa ....
Hapo mwanzo umeanza vizuri ila naona unaenda kugusa watu ambao itakughalimu mkuu , 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
 
Basi ifike mahala wanaume mseme tu kwamba na ninyi siku hizi ni viumbe dhaifu kama wanawake ili jamii ijue moja, maana kwa miaka mingi mmekuwa mkijitutumua kwamba oo mwanaume ni mwanaume tu hatakiwi kulinganishwa na mwanamke, oo hakuna mwanamke anayeweza kumpiga mwanaume oo hakuna mwanamke anayeweza kumbaka mwanaume sijui mwanaume ni simba mwanamke ni swala sijui nini na kauli nyingine kama hizo

Siku zote mlitengeneza ile mentality ya kwamba mwanamke hawezi kushindana na mwanaume na akashinda kwahiyo hata kama mwanaume ndio ana makosa basi mwanamke asijaribu kulipa kisasi kwa namna yoyote ile, kwa sababu ni yeye ndiye atakayeumia na ndiye atakayeshindwa hivyo siku zote ataishia kuwa victim kwahiyo atulie na avumilie tu, kwa sababu naturally wanaume ni viumbe waliopendelewa akili, nguvu, uwezo na mamlaka juu ya wanawake na mkadai kwamba mtoto wa kike ndiye anayetakiwa kuangaliwa kwa umakini zaidi kwenye malezi ila wa kiume hana shida yeye hata akipewa uhuru jamii haiwezi kuharibika

Sasa jamii baada ya kuona hivyo na kuamua kuanza kuwasikiliza na kuwasaidia wanawake ambao wamekuwa victims kwa muda mrefu mnaibuka tena na kuanza kusema wanaume wamesahaulika, sasa mmesahaulika kivipi wakati siku zote mmekuwa mkiiaminisha jamii kwamba mtoto wa kiume ni strong hahitaji kupambaniwa bali anajipambania mwenyewe kwahiyo mnapoanza kulialia hivi mnatupa mashaka na uanaume wenu, siku zote wanaohitaji kuangaliwa na kupambaniwa ni viumbe dhaifu tu sasa imekuwaje tena au ndio umefika mwisho wa hizo propaganda tulizokuwa tunaaminishwa na sasa ndio ukweli halisi unafichuka na mbivu na mbichi zinaanza kujulikana
 
Basi ifike mahala wanaume mseme tu kwamba na ninyi siku hizi ni viumbe dhaifu kama wanawake ili jamii ijue moja, maana kwa miaka mingi mmekuwa mkijitutumua kwamba oo mwanaume ni mwanaume tu hatakiwi kulinganishwa na mwanamke, oo hakuna mwanamke anayeweza kumpiga mwanaume oo hakuna mwanamke anayeweza kumbaka mwanaume sijui mwanaume ni simba mwanamke ni swala sijui nini na kauli nyingine kama hizo

Siku zote mlitengeneza ile mentality ya kwamba mwanamke hawezi kushindana na mwanaume na akashinda kwahiyo hata kama mwanaume ndio ana makosa basi mwanamke asijaribu kulipa kisasi kwa namna yoyote ile, kwa sababu ni yeye ndiye atakayeumia na ndiye atakayeshindwa hivyo siku zote ataishia kuwa victim kwahiyo atulie na avumilie tu, kwa sababu naturally wanaume ni viumbe waliopendelewa akili, nguvu, uwezo na mamlaka juu ya wanawake na mkadai kwamba mtoto wa kike ndiye anayetakiwa kuangaliwa kwa umakini zaidi kwenye malezi ila wa kiume hana shida yeye hata akipewa uhuru jamii haiwezi kuharibika

Sasa jamii baada ya kuona hivyo na kuamua kuanza kuwasikiliza na kuwasaidia wanawake ambao wamekuwa victims kwa muda mrefu mnaibuka tena na kuanza kusema wanaume wamesahaulika, sasa mmesahaulika kivipi wakati siku zote mmekuwa mkiiaminisha jamii kwamba mtoto wa kiume ni strong hahitaji kupambaniwa bali anajipambania mwenyewe kwahiyo mnapoanza kulialia hivi mnatupa mashaka na uanaume wenu, siku zote wanaohitaji kuangaliwa na kupambaniwa ni viumbe dhaifu tu sasa imekuwaje tena au ndio umefika mwisho wa hizo propaganda tulizokuwa tunaaminishwa na sasa ndio ukweli halisi unafichuka na mbivu na mbichi zinaanza kujulikana
Tukijipambania yakatokea ya Goba ndo utaona mwanaume amepambana.
Hiko kituo kinahisika na binadamu wote, kwani binadamu ni wanawake tu.
Pauline Gekul alivyomdhalilisha kijana Kwa kumwekea chupa sehemu ya haja kubwa mbona hakukemewa.
Christina Shusho aliyemdhalilisha mme wake kwenye vyombo habari mbona hakukemewa. Au ulitaka mme wake amkate mapanga ndo ujue mwanaume ni simba
 
Hilo ni genge la wanafiki tu.

Hata hili angeliongea Mwanaume lazima wangeibuka na tamko.


 
Tukijipambania yakatokea ya Goba ndo utaona mwanaume amepambana.
Hiko kituo kinahisika na binadamu wote, kwani binadamu ni wanawake tu.
Pauline Gekul alivyomdhalilisha kijana Kwa kumwekea chupa sehemu ya haja kubwa mbona hakukemewa.
Christina Shusho aliyemdhalilisha mme wake kwenye vyombo habari mbona hakukemewa. Au ulitaka mme wake amkate mapanga ndo ujue mwanaume ni simba
Mkuu kwani hayo ya kukatana mapanga yameanza juzi hayo si yalikuwepo toka enzi za wazee wetu, na ndio yaliyosababisha serikali zianze kuingilia kati kuwasikiliza na kuwasaidia wanawake, baada ya kuona kwamba wao ndio wahanga wakubwa wa unyanyasaji wa kijinsia sasa ninyi mnaojiita strong huo uhanga kwenu umeanza lini
 
Basi ifike mahala wanaume mseme tu kwamba na ninyi siku hizi ni viumbe dhaifu kama wanawake ili jamii ijue moja, maana kwa miaka mingi mmekuwa mkijitutumua kwamba oo mwanaume ni mwanaume tu hatakiwi kulinganishwa na mwanamke, oo hakuna mwanamke anayeweza kumpiga mwanaume oo hakuna mwanamke anayeweza kumbaka mwanaume sijui mwanaume ni simba mwanamke ni swala sijui nini na kauli nyingine kama hizo

Siku zote mlitengeneza ile mentality ya kwamba mwanamke hawezi kushindana na mwanaume na akashinda kwahiyo hata kama mwanaume ndio ana makosa basi mwanamke asijaribu kulipa kisasi kwa namna yoyote ile, kwa sababu ni yeye ndiye atakayeumia na ndiye atakayeshindwa hivyo siku zote ataishia kuwa victim kwahiyo atulie na avumilie tu, kwa sababu naturally wanaume ni viumbe waliopendelewa akili, nguvu, uwezo na mamlaka juu ya wanawake na mkadai kwamba mtoto wa kike ndiye anayetakiwa kuangaliwa kwa umakini zaidi kwenye malezi ila wa kiume hana shida yeye hata akipewa uhuru jamii haiwezi kuharibika

Sasa jamii baada ya kuona hivyo na kuamua kuanza kuwasikiliza na kuwasaidia wanawake ambao wamekuwa victims kwa muda mrefu mnaibuka tena na kuanza kusema wanaume wamesahaulika, sasa mmesahaulika kivipi wakati siku zote mmekuwa mkiiaminisha jamii kwamba mtoto wa kiume ni strong hahitaji kupambaniwa bali anajipambania mwenyewe kwahiyo mnapoanza kulialia hivi mnatupa mashaka na uanaume wenu, siku zote wanaohitaji kuangaliwa na kupambaniwa ni viumbe dhaifu tu sasa imekuwaje tena au ndio umefika mwisho wa hizo propaganda tulizokuwa tunaaminishwa na sasa ndio ukweli halisi unafichuka na mbivu na mbichi zinaanza kujulikana
Jikite kwenye hoja za msingi, achana na ngonjera au huelewi kirefu cha LHRC?
 
Nashangazwa na utendaji kazi wa taasisi hii (LHRC) Huwa wanaibuka pale anapoguswa mwanamke lakini kati hutawaona mwanamke akidhalilisha mwanaume.

Sasa wanamwandama makonda , Jana walimwandama Ngosha wa Goba, juzi wakamwanda Oscar Oscar.

Lakini hawakujikutokeza kumuonya Christina Shusho alivyomdhalilisha mmewe,
Hatukuwaona wakiwaonya Pauline Gekul alivyomdhalilisha kijana Kwa kumwekea chupa kijana sehemu ya haja kubwa.
Hawawakemei wanawake wanatoa faragha za waume zao hadharani na Huwa wanapongeza.
Au mwanaume hana mtetezi ikitokea mwanaume amedhalilishwa akachukua sheria mkonono mtaanza maneno.
Binafsi sioni kosa la makonda, yule mama alikosea mno watu wanahojo vitu vya msingi yeye analegeza sauti akihojiwa eti kadhalilishwa, kadhalilishwa vip kwani kavuliwa nguo, kachwapwa viboko, alibakwa au udhalilishaji Gani ulifanywa,
Yani kumsihi mtu aongeze sauti ndo kumdhalilisha
Siyo kweli hata kidogo. Ukienda pale kinondoni. Watu wote wa rika zote wanapewa msaada wa kisheria
 
Back
Top Bottom