Hivi kitimoto huwa inafaa kutengenezewa mishikaki?

Mi mwenyewe mpenzi sana wa kitifaya ila sijawahi ona mshikaki wa ngurubhe.................
 
Sio kitimoto tu kitamu.Vitu vyote vya haramu watumiaji yanasema vitam.Mfano:-madawa ya kulevya,pombe,uzinzi,kumuingilia mwanamke kinyume na maumbile...



Tendo la ndoa/kujaamiana ni haramu pia?
 
Habarini Wadau,
Inaaminika kuwa kitimoto ni nyama tamu sana kuliko nyama zingine nyingi tu, kwa walioionja au wanaoitumia.

Ila, sijawahi kuona mishikaki ya nyama ya nguruwe, nimezoea kuona mishikaki ya beef, chicken na hata ya pweza.
Ni kwamba kitimoto na utamu wote haufai kutengenezewa mishikaki?

Kuna mtu aliniambia haifai kwaajili ya mafuta mengi kuishia jikoni.
Kuna ukweli katika hilo?
Msaada tafadhali.


Wabillah Tawfiq,
MKUU,ULIFANIKIWA
 
Habarini Wadau,
Inaaminika kuwa kitimoto ni nyama tamu sana kuliko nyama zingine nyingi tu, kwa walioionja au wanaoitumia.

Ila, sijawahi kuona mishikaki ya nyama ya nguruwe, nimezoea kuona mishikaki ya beef, chicken na hata ya pweza.
Ni kwamba kitimoto na utamu wote haufai kutengenezewa mishikaki?

Kuna mtu aliniambia haifai kwaajili ya mafuta mengi kuishia jikoni.
Kuna ukweli katika hilo?
Msaada tafadhali.


Wabillah Tawfiq,
mweu wewe
 
Sio kutengenezwa mishikaki tu hat kuliwa haifai
Weka ushahidi wewe kishaija na Mimi mgen tumepigwa ban tusile nyama ya nguruwe...naona Baada ya Uumbaji MWENYEZI akaonna
3225b50c95c75d4745a8e7b01345cf5a.jpg
 
Habarini Wadau,
Inaaminika kuwa kitimoto ni nyama tamu sana kuliko nyama zingine nyingi tu, kwa walioionja au wanaoitumia.

Ila, sijawahi kuona mishikaki ya nyama ya nguruwe, nimezoea kuona mishikaki ya beef, chicken na hata ya pweza.
Ni kwamba kitimoto na utamu wote haufai kutengenezewa mishikaki?

Kuna mtu aliniambia haifai kwaajili ya mafuta mengi kuishia jikoni.
Kuna ukweli katika hilo?
Msaada tafadhali.


Wabillah Tawfiq,
Inawezekana ila utakuwa huifaidi,ile ukitaka uile vizuri inatakiwa iwe kwenye mapande makubwa makubwa,unang'ata kidogo kipande,kingine kinabakia mkononi ukiendelea kutafuna,huku kile kipande unachovya kidogo kwenye chumvi,kidogo kwenye pili pili,ukimalizia unachotafuna unatia mdomoni kilichopo mkonnoni..
 
Back
Top Bottom