Upiversity
JF-Expert Member
- Jun 19, 2015
- 3,488
- 2,622
...kwahiyo tumbo kwanza,si eti mzee wa kuingiza kipato!ww utakuwa huna shughuli au mradi unaokuingizi kipato hivyo hata ukikaa jela huna unachpoteza. watu hawaogopi kukaa magereza bali watu wenye vipato wanajali muda wa kuingiza kupotea. kwa usiongee kwa kejeli kwa kudhani watu wanaogopa mazingira au msosi wa jela.
.kweli ukombozi baadae sana!