Hicho kigari kinapita nchi nzima mida hiyo?Yani kuna kigari sijui ni alteza sijui ni subaru ikifika mda wa saa sita unusu hadi tisa hivi usiku wa manane huko barabarani kuna kigari hua kinapiga kelele sana zile za mufler/exousity
Hivi huyu mwenye hicho kigari au dereva mda huo anakuwa anachezea hicho kigari kwa kuwa mda huo barabara inakuwa free kwa maana kwamba matrafiki hawapo au kwa kuwa mda huo babrabar ina kuwa nyeupe ndo anachezea anavyotaka..
Mimi nipo Chalinze mbona sijakisikia?Hii hii barabara kubwa ya morogoro
Mkuu huwa unakikimbiza kwa nyuma? Maana haiwezekani uwepo kuanzia ubungo hadi kibahaSio nchi nzima binafsi nakisikiaga kwenye barabara hii ya morogoro kuanzia mataa ubungo hadi kibaha
Mkuu huwa unakuwa kwenye hiyo coverage ya ubungo to kibaha kwa muda mmoja? Au hhwa unaamka unachukua usafiri kufuata huo mlio mpaka kibaha?Sio nchi nzima binafsi nakisikiaga kwenye barabara hii ya morogoro kuanzia mataa ubungo hadi kibaha
Sio nchi nzima ni dunia nzima maana kimekatiza sasahivi hapa mogadishuHicho kigari kinapita nchi nzima mida hiyo?
Hahahah,labda ila anakisikia yeye tuu..Hicho kigari kinapita nchi nzima mida hiyo?
Yani kuna kigari sijui ni alteza sijui ni subaru ikifika mda wa saa sita unusu hadi tisa hivi usiku wa manane huko barabarani kuna kigari hua kinapiga kelele sana zile za mufler/exousity
Hivi huyu mwenye hicho kigari au dereva mda huo anakuwa anachezea hicho kigari kwa kuwa mda huo barabara inakuwa free kwa maana kwamba matrafiki hawapo au kwa kuwa mda huo babrabar ina kuwa nyeupe ndo anachezea anavyotaka..
Au ndo hiki kimekatiza hapa Mwigobero kinaelekea kinesi nini?Yani kuna kigari sijui ni alteza sijui ni subaru ikifika mda wa saa sita unusu hadi tisa hivi usiku wa manane huko barabarani kuna kigari hua kinapiga kelele sana zile za mufler/exousity
Hivi huyu mwenye hicho kigari au dereva mda huo anakuwa anachezea hicho kigari kwa kuwa mda huo barabara inakuwa free kwa maana kwamba matrafiki hawapo au kwa kuwa mda huo babrabar ina kuwa nyeupe ndo anachezea anavyotaka..