Navuta picha hapa jinsi jamaa anavyo kikimbiza jasho likimtiririka akitaka kujua ni cha nani.Mkuu huwa unakikimbiza kwa nyuma? Maana haiwezekani uwepo kuanzia ubungo hadi kibaha
Njooo kuna uzi wa Lucky me ...anasema ..nmeumia sana.
Mkuu huwa unakuwa kwenye hiyo coverage ya ubungo to kibaha kwa muda mmoja? Au hhwa unaamka unachukua usafiri kufuata huo mlio mpaka kibaha?
Sent using Jamii Forums mobile app