wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 24,685
- 26,779
Yani kuna kigari sijui ni Alteza sijui ni subaru ikifika muda wa saa sita unusu hadi tisa hivi usiku wa manane huko barabarani kuna kigari hua kinapiga kelele sana zile za mufler/exousity.
Hivi huyu mwenye hicho kigari au dereva muda huo anakuwa anachezea hicho kigari kwa kuwa muda huo barabara inakuwa free kwa maana kwamba matrafiki hawapo au kwa kuwa muda huo babrabara inakuwa nyeupe ndio anachezea anavyotaka..
Hivi huyu mwenye hicho kigari au dereva muda huo anakuwa anachezea hicho kigari kwa kuwa muda huo barabara inakuwa free kwa maana kwamba matrafiki hawapo au kwa kuwa muda huo babrabara inakuwa nyeupe ndio anachezea anavyotaka..