Hivi kile kigari kinachopiga kelele usiku wa manane ni cha nani?

wa stendi

JF-Expert Member
Jul 7, 2016
24,685
26,779
Yani kuna kigari sijui ni Alteza sijui ni subaru ikifika muda wa saa sita unusu hadi tisa hivi usiku wa manane huko barabarani kuna kigari hua kinapiga kelele sana zile za mufler/exousity.

Hivi huyu mwenye hicho kigari au dereva muda huo anakuwa anachezea hicho kigari kwa kuwa muda huo barabara inakuwa free kwa maana kwamba matrafiki hawapo au kwa kuwa muda huo babrabara inakuwa nyeupe ndio anachezea anavyotaka..
 
Yani kuna kigari sijui ni alteza sijui ni subaru ikifika mda wa saa sita unusu hadi tisa hivi usiku wa manane huko barabarani kuna kigari hua kinapiga kelele sana zile za mufler/exousity
Hivi huyu mwenye hicho kigari au dereva mda huo anakuwa anachezea hicho kigari kwa kuwa mda huo barabara inakuwa free kwa maana kwamba matrafiki hawapo au kwa kuwa mda huo babrabar ina kuwa nyeupe ndo anachezea anavyotaka..
Hicho kigari kinapita nchi nzima mida hiyo?
 
Wewe mda huo unakuwa unasubiri nini kulala au mwanga?
Yani kuna kigari sijui ni alteza sijui ni subaru ikifika mda wa saa sita unusu hadi tisa hivi usiku wa manane huko barabarani kuna kigari hua kinapiga kelele sana zile za mufler/exousity
Hivi huyu mwenye hicho kigari au dereva mda huo anakuwa anachezea hicho kigari kwa kuwa mda huo barabara inakuwa free kwa maana kwamba matrafiki hawapo au kwa kuwa mda huo babrabar ina kuwa nyeupe ndo anachezea anavyotaka..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yani kuna kigari sijui ni alteza sijui ni subaru ikifika mda wa saa sita unusu hadi tisa hivi usiku wa manane huko barabarani kuna kigari hua kinapiga kelele sana zile za mufler/exousity
Hivi huyu mwenye hicho kigari au dereva mda huo anakuwa anachezea hicho kigari kwa kuwa mda huo barabara inakuwa free kwa maana kwamba matrafiki hawapo au kwa kuwa mda huo babrabar ina kuwa nyeupe ndo anachezea anavyotaka..
Au ndo hiki kimekatiza hapa Mwigobero kinaelekea kinesi nini?

 

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom