Katika dunia kitu inaitwa rafiki delete kabisa. Kuwa na watu unaofahamiana nao ( contact people and not friends) sijawahi kuwa na rafiki na sijutii. Nina watu ninaokutana nao kazini au ktk mishemishe za kawaida tunamalizana kimtaa mtaa na tunasaidiana kimtaa mtaa basi.Habari nna rafiki zangu watatu ila nimekuja kugundua mmoja ni muongo sana ,mwingine ni mnafiki na wa mwisho ni Mmbea .
Kati ya hawa ni yupi niwe nae makini sana ?
Habari nna rafiki zangu watatu ila nimekuja kugundua mmoja ni muongo sana ,mwingine ni mnafiki na wa mwisho ni Mmbea.
Kati ya hawa ni yupi niwe nae makini sana?
daaaAFADHALI YA MUONGO KULIKO MNAFIKI/MMBEA