Hivi JF kuna wife material kweli?

Hivi JF kuna wife material kweli?

Teh teh teh teh! No wonder wamwagwa kila siku! Kumbe hiyo ndio sababu, huko USA utakusikia tu kwenye bomba mama, vp kwani eli hana uwezo wa kukupeleka?? Pole sana.

Tehetehe mume wangu kila Idara amekamilika ila huwa anajua kwamba Variety is a spice of life .......hana shida tunaminiana na tunaheshimiana.
 
Asilimia kubwa ya mabinti humu JF hawafai kuolewa,wana majibu mabaya mno yaani ukipata mke JF lazima awe bomu tu,kwenye thread tu wanavyoreply kama waliokata tamaa au wanakomoa wanaume.

Wachache sana nadhani,ila asilimia kubwa bana hamna kitu.Ukiona mrembo anajibu vibaya humu ujue hata live kachoka kabisa kakata tamaa anakuja kutukana wanaume humu.

UKIPATA MKE JF LAZIMA UJE KULALAMIKA JF
We huna akili kabisa mpaka binti aje hujf awe na member unamfikiriaje huyo kaoe ngoreme huko
 
Na wewe waoma wivu? Manake hapa naona Khantwe, atoto. cute b na sasa wewe unaona wivu na mepenzi yetu motomoto...btw najiandaa kumtoa out my lovely cutee..

Teh teh wivu?? for what?? Nnavyopewa malovee hapa huo muda wa kuona wivu nautoa wapi kwa mfano
 
Back
Top Bottom