Hahaaa mkuu kila nikiangalia comment nakufa mbavu, duh ubarikiwe.Kuna jamaa mmoja amepitia mafunzo ya kukaanga kokoto kwa mkono wake kama mwiko, kukimbia kivuli chake na kukiacha umbali wa mita 1, kukata umeme nchi nzima kwa kupuliza 'puuuuu', ngoja nimuulize yuko kikosi gani kama si special force
sio kweli, DRC walikwenda wanajeshi wa kawaida , neno special forces lisikuchanganye, UN special forces for interventionKwani hujui JWTZ Special Force to DRC ni miongoni mwa Majeshi 20 bora Duniani.
mhaaaKuna FFU
Zaid ya jeshi hilo. Jeshi letu Jwtz ni heshi hatari kwa ukanda wote wa afrika. Inshort tuna jeshi la aina yake hao malawi umeona this tm hatuwajibu do ye know why? Bas subiri kama ujasikia malawi nisehem ya TzWakuu ningependa kujua kama Jeshi letu lina special forces kama SAS, Navy seal, Royal Marine, Delta Force,
Haipo hyo. Commando anavijua vyote hivyo ulivyo vitajaKikosi cha makomandoo ni kikosi kama vimosi vya ardhini, anga, maji nk isipokuwa wao wamepewa mafunzo ya ziada kukabiliana na mazingira tatanishi... Ikifika kwenye special force watachaguliwa makomandoo wachache wa fani mbalimbali mf snippers, daktari, mtaalam wa milipuko na inawezekana kumchukua hata raia endapo kuna utaalamu wa ziada unahitajika ambao wameshindwa kumpata mtu ndani ya jeshi hapo kinaundwa kikosi maalum na wanapewa mafunzo ya ziada yanayoendana na mazingira wanayoenda kukabiliana nayo... Inasemekana kabla ya kwenda kumuua osama wale jamaa walijengewa jengo linalofanana na makazi ya osama na wakaanza kufanyia mazoezi kwa miezi mitatu. Tanzania tuna makomandoo na kila nchi ina makomandoo ila katika hao makomandoo ndio vinaundwa vikosi maalum. Naendelea kutolea mf Marekani wanapokuwa na mission tata huwa wanatumia Navy Seals ila wanapokuwana mission zisizo hitaji kusubiri wala kupoteza muda wanatumia Delta Force.
We mwelevu unashindwaje kujua uwepo wa vikosi maalumu?Jibu la kishamba
Ulitegemea jibu la namna gani kwa sali la kijinga?Jibu la kijinga
Mambo ya ulinzi sio ya kutaka kuyajua kiholela mkuu, hatujuani hapa mtu anauliza mambo ya ulinzi na usalama wa majeshi anataka kujua ili iweje labda.
Kuna maswali ukiuliza utajibiwa mengine huwezi kujibiwa Never
Wabongo bhana, sawa reference zako ni umezitaja, siku moja nenda kaulize pale Lugalo nadhani kwa nia njema watakupa data unazotaka.Acha akili za kizamani,tafuta habari za Mossad,cia,mi6 utazipata zote. Uku kwetu bado wanaishi kizamani.
Wabongo bhana, sawa reference zako ni umezitaja, siku moja nenda kaulize pale Lugalo nadhani kwa nia njema watakupa data unazotaka.
Mnapenda kuchimbachimba kila kitu, kisa mzungu kafanya, seriously Kenya wanaume wameanza kuolewa kwa kuangalia mifano ya wazungu
Nilitaka kukwambia hivyo hivyo, maana unapenda kufanya kila unachoona mzungu anafanyaFicha upumbavu wako.
marehemu Ahmed mlima alikuwa mgambo?sio kweli, DRC walikwenda wanajeshi wa kawaida , neno special forces lisikuchanganye, UN special forces for intervention