busara na hekima
Member
- Mar 1, 2017
- 66
- 19
Hahahahaha nami mahari BurundiMimi nitachana kadi yangu ya CHADEMA na kuamia nchi jirani ya Somalia.
Hahahahaha nami mahari BurundiMimi nitachana kadi yangu ya CHADEMA na kuamia nchi jirani ya Somalia.
Ujue hao jamaa ni makasuku ya kufa ndege, watabadilisha mluzi kama unabisha tuweke dau then tumshawishi RC ahamie lazima utaona maajabu ya pili ya upinzani.Wahenga wana msemo wao usemao akili ni nywele lakini pia jambo la kuambiwa changanya na lako kwa kutumia akili yako .
Hapa nina maana miaka 7 iliyopita chadema waliwahi kumtangaza kuwa lowasa ni fisadi. Viongozi wengine walienda mbali zaidi na kusema wana ushaidi kuwa lowasa alikuwa ni fisadi lakini siku alipohamia chadema hao hao waliomchafua na kumsafisha kuwa si fisadi.
Leo hii mkuu wa mkoa ndugu makonda anaandamwa sana kuhusu vyeti vyake lakini moja wanamuandama ni wafuasi wa chadema .
Swali langu je leo hii ikitokea makonda akajiuzulu na baada ya muda kujiunga na chadema
Je unadhani chadema watazungumzia nini kuhusu makonda.
Je wataweza kumsafisha kama ilivyokuwa kwa lowassa na je unadhani ni nini kitatokeaaa
Kazi kweli kweliAnakaribishwa lakini kwa sharti aoneshe cheti kwanza.
Lowassa ana vyeti vya kughushi? Tuhuma dhidi ya Lowassa zipo mitandaoni lakini DCI au DPP hawazijuiWahenga wana msemo wao usemao akili ni nywele lakini pia jambo la kuambiwa changanya na lako kwa kutumia akili yako .
Hapa nina maana miaka 7 iliyopita CHADEMA waliwahi kumtangaza kuwa Lowassa ni fisadi. Viongozi wengine walienda mbali zaidi na kusema wana ushaidi kuwa lowasa alikuwa ni fisadi lakini siku alipohamia chadema hao hao waliomchafua na kumsafisha kuwa si fisadi.
Leo hii mkuu wa mkoa ndugu makonda anaandamwa sana kuhusu vyeti vyake lakini moja wanamuandama ni wafuasi wa chadema .
Swali langu je leo hii ikitokea Makonda akajiuzulu na baada ya muda kujiunga na CHADEMA.
Je unadhani CHADEMA watazungumzia nini kuhusu Makonda.
Je wataweza kumsafisha kama ilivyokuwa kwa Lowassa na je unadhani ni nini kitatokeaaa?
hala hala huu uzi usije ukafukunyuliwa miaka hiyo! si unakumbuka thread za EDO na comments za watu waliokuwa wanamponda na sasa wamemkumbatia!Mimi nitachana kadi yangu ya CHADEMA na kuamia nchi jirani ya Somalia.
Wahenga wana msemo wao usemao akili ni nywele lakini pia jambo la kuambiwa changanya na lako kwa kutumia akili yako .
Hapa nina maana miaka 7 iliyopita CHADEMA waliwahi kumtangaza kuwa Lowassa ni fisadi. Viongozi wengine walienda mbali zaidi na kusema wana ushaidi kuwa lowasa alikuwa ni fisadi lakini siku alipohamia chadema hao hao waliomchafua na kumsafisha kuwa si fisadi.
Leo hii mkuu wa mkoa ndugu makonda anaandamwa sana kuhusu vyeti vyake lakini moja wanamuandama ni wafuasi wa chadema .
Swali langu je leo hii ikitokea Makonda akajiuzulu na baada ya muda kujiunga na CHADEMA.
Je unadhani CHADEMA watazungumzia nini kuhusu Makonda.
Je wataweza kumsafisha kama ilivyokuwa kwa Lowassa na je unadhani ni nini kitatokeaaa?
Mimi nitachana kadi yangu ya CHADEMA na kuamia nchi jirani ya Somalia.
Kama alifukuzwa Zitto Kabwe genius na vyeti vyake... Sidhani kama Mbowe anaweza kuside na Coke ZeroWahenga wana msemo wao usemao akili ni nywele lakini pia jambo la kuambiwa changanya na lako kwa kutumia akili yako .
Hapa nina maana miaka 7 iliyopita CHADEMA waliwahi kumtangaza kuwa Lowassa ni fisadi. Viongozi wengine walienda mbali zaidi na kusema wana ushaidi kuwa lowasa alikuwa ni fisadi lakini siku alipohamia chadema hao hao waliomchafua na kumsafisha kuwa si fisadi.
Leo hii mkuu wa mkoa ndugu makonda anaandamwa sana kuhusu vyeti vyake lakini moja wanamuandama ni wafuasi wa chadema .
Swali langu je leo hii ikitokea Makonda akajiuzulu na baada ya muda kujiunga na CHADEMA.
Je unadhani CHADEMA watazungumzia nini kuhusu Makonda.
Je wataweza kumsafisha kama ilivyokuwa kwa Lowassa na je unadhani ni nini kitatokeaaa?
Hii picha ya chini kituko. Ni hivi chadema huyu hakanyagi maisha yake. Kwa ukilaza wake hata akitaka kugombea uenyekiti wa mtaa kalomije kwa tiketi ya chadema tunagoma.
Wakishahukumiwa usisahau kunitaarifu!Aitwe kila aina ya majina lakini Makonda atabaki kuwa kwenye kumbukumbu za nchi.Amefanya kitu ambacho kilikuwa kimeshindikana nchi nzima.Sasa hivi tunasikia kila kona ya nchi wadau wa unga wanasakwa.Hadi Kamishna wa dawa hizi aliteuliwa with sense of urgency.
Chadema hata Hitler watasema ni chaguo la mungu
weka kwanza vyeti vyako hapa na weweNimependa andiko lako! vyeti kwanza mengine baadaye. Bashiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiite leta vyeeeeeeeeeeeeeeeeeetiiiiiiiiiiiiiiii
Wahenga wana msemo wao usemao akili ni nywele lakini pia jambo la kuambiwa changanya na lako kwa kutumia akili yako .
Hapa nina maana miaka 7 iliyopita CHADEMA waliwahi kumtangaza kuwa Lowassa ni fisadi. Viongozi wengine walienda mbali zaidi na kusema wana ushaidi kuwa lowasa alikuwa ni fisadi lakini siku alipohamia chadema hao hao waliomchafua na kumsafisha kuwa si fisadi.
Leo hii mkuu wa mkoa ndugu makonda anaandamwa sana kuhusu vyeti vyake lakini moja wanamuandama ni wafuasi wa chadema .
Swali langu je leo hii ikitokea Makonda akajiuzulu na baada ya muda kujiunga na CHADEMA.
Je unadhani CHADEMA watazungumzia nini kuhusu Makonda.
Je wataweza kumsafisha kama ilivyokuwa kwa Lowassa na je unadhani ni nini kitatokeaaa?