Hivi inakuwaje mwanaume mtu nzima mwenye mke na watoto unachanganyikiwa na Mapenzi?

Hivi inakuwaje mwanaume mtu nzima mwenye mke na watoto unachanganyikiwa na Mapenzi?

Muuza madafu wa Ikulu

JF-Expert Member
Joined
Feb 21, 2024
Posts
1,640
Reaction score
3,747
Hivi hii imekaaje?

Kuna jamaa yangu mmoja ambaye nilileta habari zake humu namna alivyofirisika tokana na kuhangaika na wanawake. Sasa amewehuka na amekuwa kama kijana anayeanza kubalehe kwa kusumbuliwa na wanawake wengi zikiwemo nyumba ndogo?

Hivi inakuwaje mtu mzima unachanganyikiwa na mapenzi namna hiyo?

Kuna kijana mwingine mwenye miaka 30+ namfahamu mmoja tena mwenye maisha mazuri tu na mwenye mke na watoto anataka kujiua kisa mchepuko? Ukikutana naye muda wote analalamika na anaandika status kuhusu kuteswa na mapenzi hadi anafikia hatua ya kutaka kujiua na muda mwingine anaenda kupigana na huyo mchepukp/hawara hadi kazini kwa huyo mwanamke eti anampenda na Mwanamke hampendi.

Hivi hii imekaaje? Nini hasa kinachosababisha haya?

1755203531634.jpg


Inasikitisha.
 
Hivi hii imekaaje?

Kuna jamaa yangu mmoja ambaye nilileta habari zake humu namna alivyofirisika tokana na kuhangaika na wanawake. Sasa amewehuka na amekuwa kama kijana anayeanza kubalehe kwa kusumbuliwa na wanawake wengi zikiwemo nyumba ndogo?

Hivi inakuwaje mtu mzima unachanganyikiwa na mapenzi namna hiyo?

Kuna kijana mwingine mwenye miaka 30+ namfahamu mmoja tena mwenye maisha mazuri tu na mwenye mke na watoto anataka kujiua kisa mchepuko? Ukikutana naye muda wote analalamika na anaandika status kuhusu kuteswa na mapenzi hadi anafikia hatua ya kutaka kujiua na muda mwingine anaenda kupigana na huyo mchepukp/hawara hadi kazini kwa huyo mwanamke eti anampenda na Mwanamke hampendi.

Hivi hii imekaaje? Nini hasa kinachosababisha haya?

View attachment 3461478

Inasikitisha.
Muuza madafu wa chamwino baada ya kuvimbiwa ugimbi
 
Mapenzi ni hisia na Kama unavyojua mambo yanayohusu hisia ndo yanaongoza kuharibu Maisha ya watu duniani.

Kwahiyo sio tu watu wanachanganikiwa Ila wapo wanaojiua , kuua n.k

Hii haitokani na umri , MTU anaweza
Kuwa na miaka 30 Ila akawa na uzoefu mkubwa katika, kilimo , biashara , Kazi Ila akawa na less experience kwenye mahusiano .

Na kitaalamu zaidi ukifika umri wa 30+ unabidi kuwa na Elimu ya mahusiano, saikoloji hata kwa uchache maana umri huo wengine huita "point of no return"

Yaani ukipagawa ukiwa na 30 yes waweza kujikuta unakuja kukaa sawa ukiwa na 50 na ushapoteza mambo mengi muhimu .
 
Hivi hii imekaaje?

Kuna jamaa yangu mmoja ambaye nilileta habari zake humu namna alivyofirisika tokana na kuhangaika na wanawake. Sasa amewehuka na amekuwa kama kijana anayeanza kubalehe kwa kusumbuliwa na wanawake wengi zikiwemo nyumba ndogo?

Hivi inakuwaje mtu mzima unachanganyikiwa na mapenzi namna hiyo?

Kuna kijana mwingine mwenye miaka 30+ namfahamu mmoja tena mwenye maisha mazuri tu na mwenye mke na watoto anataka kujiua kisa mchepuko? Ukikutana naye muda wote analalamika na anaandika status kuhusu kuteswa na mapenzi hadi anafikia hatua ya kutaka kujiua na muda mwingine anaenda kupigana na huyo mchepukp/hawara hadi kazini kwa huyo mwanamke eti anampenda na Mwanamke hampendi.

Hivi hii imekaaje? Nini hasa kinachosababisha haya?

View attachment 3461478

Inasikitisha.
Mkuu haujui kinachosababisha, au unatania?
 
Hivi hii imekaaje?

Kuna jamaa yangu mmoja ambaye nilileta habari zake humu namna alivyofirisika tokana na kuhangaika na wanawake. Sasa amewehuka na amekuwa kama kijana anayeanza kubalehe kwa kusumbuliwa na wanawake wengi zikiwemo nyumba ndogo?

Hivi inakuwaje mtu mzima unachanganyikiwa na mapenzi namna hiyo?

Kuna kijana mwingine mwenye miaka 30+ namfahamu mmoja tena mwenye maisha mazuri tu na mwenye mke na watoto anataka kujiua kisa mchepuko? Ukikutana naye muda wote analalamika na anaandika status kuhusu kuteswa na mapenzi hadi anafikia hatua ya kutaka kujiua na muda mwingine anaenda kupigana na huyo mchepukp/hawara hadi kazini kwa huyo mwanamke eti anampenda na Mwanamke hampendi.

Hivi hii imekaaje? Nini hasa kinachosababisha haya?

View attachment 3461478

Inasikitisha.
Kwani muuza madafu,umesha poteza madafu mangapi kwenye mtaji wako,kisa hutotujimambo?
 
Tofauti kati ya masikini na aliyefirisika ni kwamba maskini huanzia mwanzo(from scratch) ila aliyefirisika huanzia kwenye uzoefu (experience)...

Mapenzi husumbua kila mtu, ila tunatofautia kwenye mapokeo, makubalio, maamuzi na maendeleo.
Haya yote yatategemea uzoefu kuyakabili.

Mfano; X katika maisha yake alitumia muda mwingi kusoma, amekuja kuoa akiwa na miaka ishirini na mitano.
Y kaishia darasa la 12, kaanza mapenzi mapema. Kaachwa na kutendwa mara kadhaa.

Wote wakifikisha miaka 30 watakuwa sawa?
 
Mambo mengine ni vichekesho tu,dunia inavingi sana vya kutupa raha lkn kuna mtu anawaza kujiua duh,mi nikikumbuka bia za kila ijumaa na kwenda club siwez kuwaza kujiua kisa kitobo cha mtu....bora kununua tu kila wiki unajipangia huduma unapata wapi.....
 
Back
Top Bottom