Hivi inakuwaje mama anamuonea wivu mtoto wake?

Kumbuka hii ilikuwa ahadi ya mtoto akifanya vizuri shule, mtoto amekomaa mpaka amefikia lengo la kufanya vizuri na ili kumuonyesha kwamba baba hadanganyi akamnunulia zawadi yake, sasa mama anaioneaje wivu zawadi ya namna hiyo?

Pili Kama mama anadai zawadi kwa kulea familia (kupika, kufua na kuangalia watoto wao) baba anayevuja jasho kuhakikisha kila kitu kipo sawa hapo home atapewa zawadi na nani?

Halafu watoto wakikua, wa kwanza kufaidika ni mama,na slogan ya "nani kama mama" inashika kasi kweli kweli,kama baba haukujiwekeza basi utakufa mapema sana,maana kila ulichofanya inakuwa ni wajibu wako,lakini malezi ya mama hayatazamwi kama wajibu Bali ni hisani isiyomfanowe!
Asante mkuu, ujumbe utamfikia
 
Jamaa anamdharau sana mke wake. Anapotezea maombi yake. Na huenda ametoka kumwomba kitu si siku nyingi na jamaa akadai hana hela. Inapotokea anatoa zawadi kwa mtoto huku mama aliomba mahitaji siku nyingi bila kutimiziwa ni ishara ya dharau kubwa. Mke anajiona kama ni kifaa cha kufyatua watoto tu, hivyo anaumia. Ni dhahiri hamwonei wivu mwanae lakini baba mtoto ameonyesha dharau za wazi.

Huyo jamaa aache ushamba. Anataka atetewe kwa ushamba na ujinga wake.
Pendezesha mama na mwanae siyo umpotezee mama halafu uje huku ili tukuone una point.

Aache ushamba.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Unajua ahadi kwa mtoto? Umeongea kama ni jana tu hiyo ahadi imetolewa na ikatekelezeka,wakati huyo mtoto kaipambania hasa na ilimkaa kichwani
 
Unajua ahadi kwa mtoto?
Umeongea kama ni jana tu hiyo ahadi imetolewa na ikatekelezeka,wakati huyo mtoto kaipambania hasa na ilimkaa kichwani
Nina mke na watoto.
Kamwe mama hawezi mwonea wivu mtoto kama unamjali. Huyo jamaa anamdharau mke wake. Na kama angemheshimu asingetsngaza hayo yaliyotokea. Anataka tumwone yeye ni smart na mkewe tumwone mjinga.
No! Mwanaume ndiye mpumbavu.


Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Huu ni ujumbe amenifowadia rafiki yangu wa karibu sana, kwamba amemnunulia zawadi mtoto wake baada ya kufanya vizuri shuleni, (aliahidi kumnunulia zawadi nono endapo atashika nafasi ya kwanza kwenye mitihani yake), dogo kweli amepasua paper vizuri sana, baba Yale akatekeleza ahadi yake kwa mtoto.

Baada ya baba kuondoka, mama ameanza kumtumia texts baba mtoto kwamba anamjali mtoto tu, Wala hamjali mama yake (akimaanisha kwanini amemnunulia zawadi mtoto pekee na yeye hajapata zawadi)

Hii imenifanya nifikirie sana, ina maana mama mtoto anamuonea wivu mwanaye?

Hii inasabababishwa na nini?
Mama bado ni "mtoto"!Ampe mimba ingine!😝😝😝😝😝
 
Km kulea watoto unataka zawadi ntakupa zawadi mpka lini? Ikumbukwe zawadi ni kwa kupewa baada ya kufanya kitu special.. sasa hujafanya kitu zawadi ya nn? Kulea wote tunalea it aint special its appreciated since day one. Shida enu mnakuaga entittled sana you thinking you deserve better while nothing special you have done.

Sent from my SM-G950F using JamiiForums mobile app
Zawadi is a symbol off appreciation.

Na inazidisha mapenzi. Kama unadhani mke wako hahitaji kuonyeshwa mapenzi ni wewe tu.

Nothing special? Next time you pump your seed into her, accompany her into the labour room and wait until the baby is here.

Then come back and review your comment.
 
Unaona Sasa ulivyo na akili finyu,humu kila siku mnajaza nyuzi kwa Mambo ya "kula kimaskhara" kufumania na mengine mengi, if you find it useless unapita kimya kimya, we don't take things too serious hiini sehemu ya kujifunza, kufurahisha na hata kushea mazuri na mabaya lakini ukianza kujifanya veeeeeeery serious in everything mzee utakufa mapema, mambo ya "uwezo mdogo wa kufikiri, jamaa yako hamnazo" yanatoka wapi?

Kama wewe una akili nyingi unakomenti nini sasa uzi wa wenye akili ndogo? Huoni hapo na wewe unakuwa na akili ndogo kuliko wenye Uzi?

Mpuuzi mkomavu kabisaa,kakojoe ulale!
Hii "mpuuzi mkomavu" ndo imenifanya nijaribu hii comment.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Watu mna matusi mapyaaaaa
 
Ndo kinachofata.

Zawadi ya mke wako ikutoe roho?
You know both are parents? Hivi ushawah sikia meanaume anadai kuwa appreciated kwa anayoyafanya katika familia? We dont cause we know its responsibility!

You are responsible too sema mmejaa entitlement tu

Mi zawadi natoa after kitu flan kimefanyika.. hayo ya kulea they are appreciated kila siku yaani navyoleta vyakula home na kuhakikisha hamlali njaa thats appreciation too!

Sent from my SM-G950F using JamiiForums mobile app
 
You know both are parents? Hivi ushawah sikia meanaume anadai kuwa appreciated kwa anayoyafanya katika familia? We dont cause we know its responsibility!

You are responsible too sema mmejaa entitlement tu

Mi zawadi natoa after kitu flan kimefanyika.. hayo ya kulea they are appreciated kila siku yaani navyoleta vyakula home na kuhakikisha hamlali njaa thats appreciation too!

Sent from my SM-G950F using JamiiForums mobile app
you are so wrong.

Appreciation is totally different from obligations.

Ama ndugu yetu ulilazimishwa kuoa na kuanzisha familia?
 
you are so wrong.

Appreciation is totally different from obligations.

Ama ndugu yetu ulilazimishwa kuoa na kuanzisha familia?
My friend Mimi nadhani baadhi ya Mambo ni wajibu wa kawaida kabisa,unawezaje kutafuta appreciation kwenye mambo ambayo ni wajibu wa lazima?

Yaani baba aanze kujipongeza na kutafuta appreciation kwa kuleta mboga nyumbani?
 
Back
Top Bottom